BLACK SUPERMAN
Senior Member
- Nov 28, 2013
- 158
- 196
Sijalipia mudamrefu, vipi wewe umesajili, maana Mimi Kuna kipindi nilipumzika kupost baada ya Kodi kuona kubwa kulinganisha na nipatacho nikakaa kando, then 2021 nikarudi kuanza kuandika Kama kawa..vipi wewwe umeshasajili blog yako
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app