BLACK SUPERMAN
Senior Member
- Nov 28, 2013
- 158
- 196
True Kuna eneo ukizingua wanakuchapa umemeBut, it's too risky.
Usifikiri Google hawajui. Wanakulia Target tu.
Utakuja kujua hujui.
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
True Kuna eneo ukizingua wanakuchapa umemeBut, it's too risky.
Usifikiri Google hawajui. Wanakulia Target tu.
Utakuja kujua hujui.
Badili mwonekano na ufix issu za brokenlinks
Naomba unisaidie taratibu namna ya kuboresha,kuna vitu vingi najifunza mtandaoni.Badili muonekano wa blog Yako kisha fanyia kazi suala la kuweka Read more ili story zivutie watu kusoma ndani post zako, mengine utajifinza mdogo mdogo ila tafuta template ambazo ni SEo ready au faster theme ili blog Yako ifunguke kirahisi
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Mimi nikikubaliwa na AdSense, hata nikianza kulipwa $2 kwa siku nitaona poa.Sema Adsense views wa Bongo ni kisanga kuna jamaa Anangiza Views Elfu 40000 lakini Anapata Dollar 5 kwa siku
Unauelewa na blog design¿ Kama huna yakupasa ujifunze taratibu kwenye machapisho ya blog nyingine juu ya kuset muonekano wa blog Yako, au hata kwa njia ya video waweza jifunza.. usijitoe kutafuta watu wakutengenezee alafu wakakuibia ukapigwa elfu 50 huko... Tenga muda kujifunza hakuna aliyezaliwa anajuaM
Naomba unisaidie taratibu namna ya kuboresha,kuna vitu vingi najifunza mtandaoni.
Nianzie wapi,na nimalizie wapi kaka.
Kweli ndugu yangu nashukuru sana kwa ushauri wako, kuna theme nimeweka nimekuta kwenye customize theme, imeandikwa first generation theme.Unauelewa na blog design¿ Kama huna yakupasa ujifunze taratibu kwenye machapisho ya blog nyingine juu ya kuset muonekano wa blog Yako, au hata kwa njia ya video waweza jifunza.. usijitoe kutafuta watu wakutengenezee alafu wakakuibia ukapigwa elfu 50 huko... Tenga muda kujifunza hakuna aliyezaliwa anajua
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Sio mbaya Kwa mwanzo. Ila fanyia kazi suala la kujifunza hakuna gharama ni wewe na muda wako tu..Kweli ndugu yangu nashukuru sana kwa ushauri wako, kuna theme nimeweka nimekuta kwenye customize theme, imeandikwa first generation theme.
Naomba kama hautajali uangalie kisha unishauri kitu gani cha kuongezea tena.
Hauwezi kuyapata kwenye blogu ya kiswahiliMimi nikikubaliwa na AdSense, hata nikianza kulipwa $2 kwa siku nitaona poa.
Cha msingi natamani sana kufikisha elimu kwa jamii,japo bado najifunza namna ya kuitengeneza blog ivutie kimtazamo.
Upload theme nyingine ambayo ni premiumSijakuelewa kaka,nabadilishaje na inahusu nini
![]()
JE NIVIGEZO GANI ILI CHANNELI YA YOUTUBE KUPEWA MATANGAZO NA KUINGIZA PESA?
JE NIVIGEZO GANI ILI CHANNELI YA YOUTUBE KUPEWA MATANGAZO NA KUINGIZA PESA?www.safariafricablog.com
BloggerUnatumia host gani?
![]()
Unamiliki blogu ya kiswahili? tumia makampuni haya ya matangazo kunufaika......
Unamiliki blogu ya kiswahili? tumia makampuni haya ya matangazo kunufaika......www.safariafricablog.com
Tatizo ni speed ya internet ninayo ndogo. Nishapiga tutorials za kutengeneza blog kupitia YouTube nataka kutumia Elementor na Grammarly. Kwa mwaka nikilipia host site na domain ni kama shilingi ngapi sijui.Haina tatizo kabisa
Nilisahau mkuu ngoja niandae post post now nitawajulishaSasa mbona hujaeleza njia za kutoa hela zako ulizomake