Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Ada tuweke 1.5 m
Uniforms, usafiri na vikorokoro vingine tuweke 1ml . Jumla milioni 2.5, mara 4 ni milioni 10. Hiyo ni minimum.
Hapo hatujagusa hizi International schools ambapo kwa miaka 4 hamna hamna milioni 20 inakwenda.
Form one mpaka form four nimesoma shule ambayo kulikuwa na wanafunzi wachache waliosoma English medium schools, walichotupita ni debate tu hasa ile debate ya awali kabisa.
Wale watoto hata kumi bora ilikuwa huwezi kuwakuta. Baadaye level of English fluency tukawa sawa.
Nimeenda advance nimekutana na wanafunzi ambao primary na secondary wamesoma kwenye shule za private, hawakuwa na maajabu.
Chuo nako vilevile, hajulikani aliyesoma royal schools wala hizi mushroom schools.
Kwa ambao wamemaliza sekondari au chuo kikuu na hawajui kuongea Kiingereza vizuri Ras Simba anaweza kuwanoa kwa gharama ndogo sana chini ya laki 5 kwa muda mfupi tu.
Hata mwezi mmoja unatosha kabisa.
Sasa tuseme nini ?
English medium schools ni kwaajili ya watoto vilaza au ni kwa ajili ya wazazi wasio na uelewa?”
Uniforms, usafiri na vikorokoro vingine tuweke 1ml . Jumla milioni 2.5, mara 4 ni milioni 10. Hiyo ni minimum.
Hapo hatujagusa hizi International schools ambapo kwa miaka 4 hamna hamna milioni 20 inakwenda.
Form one mpaka form four nimesoma shule ambayo kulikuwa na wanafunzi wachache waliosoma English medium schools, walichotupita ni debate tu hasa ile debate ya awali kabisa.
Wale watoto hata kumi bora ilikuwa huwezi kuwakuta. Baadaye level of English fluency tukawa sawa.
Nimeenda advance nimekutana na wanafunzi ambao primary na secondary wamesoma kwenye shule za private, hawakuwa na maajabu.
Chuo nako vilevile, hajulikani aliyesoma royal schools wala hizi mushroom schools.
Kwa ambao wamemaliza sekondari au chuo kikuu na hawajui kuongea Kiingereza vizuri Ras Simba anaweza kuwanoa kwa gharama ndogo sana chini ya laki 5 kwa muda mfupi tu.
Hata mwezi mmoja unatosha kabisa.
Sasa tuseme nini ?
English medium schools ni kwaajili ya watoto vilaza au ni kwa ajili ya wazazi wasio na uelewa?”