Kuchangia 24,000/= kwa mwaka kwa ajili ya elimu ya mtoto mzazi hawezi....Shule za Kima secondary School na Suya secondary school za Arusha wanafunzi wote wametangaziwa kuwa mwakani wanatakiwa kulipa ada na hela ya mlinzi.
Ada ni elfu 20,000 kwa mwaka na mlinzi ni 4000 kwa mwaka, vipi shule nyingine hali ikoje wakuu? Wazazi wamepanic saaaana
Uongo wakati na shule nimezitajaKila siku mnazuwa uongo tu,mkumbukeni "mungu" wenu kwa style nyingine.
Wasayansi aliwagawa phy na Maths tu, chemia, biology, geography wanasugua benchisema nitamkumbuka, wengine hatuwezi kumbuka dust,
Elimu Bure ila kashindwa kuajiri walimu ,miaka mitano, anajificha kwenye kivuli Cha walimu wa sayansi.
Muhimu kushukuru Mungu sana kwa kuondoa dust.
24, ndogo kwako kwa wengine Ni mlimaKuchangia 24,000/= kwa mwaka kwa ajili ya elimu ya mtoto mzazi hawezi....
Nchi ngumu sana hii.
Kwahiyo ada itatozwa shule hizo tu!Uongo wakati na shule nimezitaja
Ya kweli haya? Kama ni kweli nani alitoa hilo tangazo?Shule za Kima secondary School na Suya secondary school za Arusha wanafunzi wote wametangaziwa kuwa mwakani wanatakiwa kulipa ada na hela ya mlinzi.
Ada ni elfu 20,000 kwa mwaka na mlinzi ni 4000 kwa mwaka, vipi shule nyingine hali ikoje wakuu? Wazazi wamepanic saaaana
Elfu ishirini unai diskas mbele ya watu. Halafu Ni kwa mwaka.Shule za Kima secondary School na Suya secondary school za Arusha wanafunzi wote wametangaziwa kuwa mwakani wanatakiwa kulipa ada na hela ya mlinzi.
Ada ni elfu 20,000 kwa mwaka na mlinzi ni 4000 kwa mwaka, vipi shule nyingine hali ikoje wakuu? Wazazi wamepanic saaaana
Elfu ishirini unai diskas mbele ya watu. Halafu Ni kwa mwaka.
Gesti unalipa 25,000. Masaa mawili kondom na vocha juu hulalamiki.
Hivi vipaumbele vya watanzania Ni vipi?
Elfu ishirini unai diskas mbele ya watu. Halafu Ni kwa mwaka.
Gesti unalipa 25,000. Masaa mawili kondom na vocha juu hulalamiki.
Hivi vipaumbele vya watanzania Ni vipi?
Kwa hiyo hayo yote yanashindwa kufanyika kwa sababu elimu bureWarudishe ada waboreshe mazingira ya elimu, waboreshe maslahi ya walimu na kuajiri walimu wa kutosha...
Yaani kila mwezi ef2 lakini wanalalamikaKuchangia 24,000/= kwa mwaka kwa ajili ya elimu ya mtoto mzazi hawezi....
Nchi ngumu sana hii.
Inashangaza sana kiukweliElfu ishirini unai diskas mbele ya watu. Halafu Ni kwa mwaka.
Gesti unalipa 25,000. Masaa mawili kondom na vocha juu hulalamiki.
Hivi vipaumbele vya watanzania Ni vipi?
Kwani wewe ulikuwa hulipi hiyo elfu 20?Shule za Kima secondary School na Suya secondary school za Arusha wanafunzi wote wametangaziwa kuwa mwakani wanatakiwa kulipa ada na hela ya mlinzi.
Ada ni elfu 20,000 kwa mwaka na mlinzi ni 4000 kwa mwaka, vipi shule nyingine hali ikoje wakuu? Wazazi wamepanic saaaana
lipa wewe sio kulalamika kutwa nzima.mbona pombe unakunywaKuchangia 24,000/= kwa mwaka kwa ajili ya elimu ya mtoto mzazi hawezi....
Nchi ngumu sana hii.
Tuliza mzuka Taga mie Nina vivid exampleAcha uongo...Kama una ugomvi na wakuu wa shule au walimu wa hapo bora uongee. Au unataka kupaka matope serikali. Vinginevyo hiyo itakuwa michango ambayo imepitishwa na wazazi wenzako kwa ajili ya kuboresha taaluma. Jenga tabia ya kuhudhuria vikao vya wazazi shuleni ili kuacha majungu mitandaoni.
Kibwana?Hawa walikuwa hawajui kabisa namuna JPM alivyokuwa anaendesha nchi.
Sasa hivyi kila kitu shagarabagara,huku unasikia kijamaa Fulani eti kinaanza kuruka na chopa eti kuangalia mabwawa,Mara mgao wa umeme,Mara ng'ombe zinamaliza maji kwenye mabwawa, utafikiri kufuga wameanza leo.
Hovyo kabisa.