Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Ada shuleni zimerudi?
Ila watanzania ni watu wa ajabu,mwendazake aliwalemaza sana na alivyokuwa mtu mbadi anawambia zaeni sana(ni ujinga wa hali ya juu kuzaa watoto ambao huwezi kuwapa mahitaji yao ya msingi ikiwepo elimu) yaani some people are like headless chicken
Yaani watoto uzae wewe afu utegemee mtu baki asomeshe watoto wako,?
Watu wanalemaa ubongo ada iongezwe angalau iwe sabini