Ada shuleni zimerudi?

Ada shuleni zimerudi?

Ada shuleni zimerudi?
Ila watanzania ni watu wa ajabu,mwendazake aliwalemaza sana na alivyokuwa mtu mbadi anawambia zaeni sana(ni ujinga wa hali ya juu kuzaa watoto ambao huwezi kuwapa mahitaji yao ya msingi ikiwepo elimu) yaani some people are like headless chicken
Yaani watoto uzae wewe afu utegemee mtu baki asomeshe watoto wako,?
Watu wanalemaa ubongo ada iongezwe angalau iwe sabini
 
Ila watanzania ni watu wa ajabu,mwendazake aliwalemaza sana na alivyokuwa mtu mbadi anawambia zaeni sana(ni ujinga wa hali ya juu kuzaa watoto ambao huwezi kuwapa mahitaji yao ya msingi ikiwepo elimu) yaani some people are like headless chicken
Yaani watoto uzae wewe afu utegemee mtu baki asomeshe watoto wako,?
Watu wanalemaa ubongo ada iongezwe angalau iwe sabini
Ndio sababu Raisi Mwalimu Nyerere alileta Uzazi wa Mpango (UMATI)
Hilo la Magufuli la kusema zaaeni nitawasomesha bure ilikuwa fix tu,JK alisema akili za kuambiwa changanya na za kwako.
 
Kwann mlinzi asiajiriwe na serikali kama mwalimu,
 
Shule za Kima secondary School na Suya secondary school za Arusha wanafunzi wote wametangaziwa kuwa mwakani wanatakiwa kulipa ada na hela ya mlinzi.

Ada ni elfu 20,000 kwa mwaka na mlinzi ni 4000 kwa mwaka, vipi shule nyingine hali ikoje wakuu? Wazazi wamepanic saaaana
Kuna ubaya Gani kuchangia elimu ya mwanao? Hakuna huduma ya Bure Duniani rafiki! Mbona huduma ya kutumia choo kichafu na kisichofaa Kwa matumizi ya mweñye kujitambua huko kwenye stendi zenu za mabasi mnachangia bila kulalama? Jitahidi kumlipia mtoto wako ada na michango mingine iliyoamuliwa na wazazi wenzako ili mboreshe mazingira ya ujifunzaji na acha kuwekeza baa na Kwa totos!
 
Shule za Kima secondary School na Suya secondary school za Arusha wanafunzi wote wametangaziwa kuwa mwakani wanatakiwa kulipa ada na hela ya mlinzi.

Ada ni elfu 20,000 kwa mwaka na mlinzi ni 4000 kwa mwaka, vipi shule nyingine hali ikoje wakuu? Wazazi wamepanic saaaana

Hii Nimeipenda
 
Shule za Kima secondary School na Suya secondary school za Arusha wanafunzi wote wametangaziwa kuwa mwakani wanatakiwa kulipa ada na hela ya mlinzi.

Ada ni elfu 20,000 kwa mwaka na mlinzi ni 4000 kwa mwaka, vipi shule nyingine hali ikoje wakuu? Wazazi wamepanic saaaana

nilipo soma title nikashtuka.
nafungua thread nisome hicho kilichorudi katika ada, nakuta umeandika elfu 20 kwa mwaka na elfu 4 ya mlinzi. nimeishia kucheka

nimebaki natafakari ile milioni mbili na nusu ninayomlipia kijana wangu anayesoma secondary fulani ya bweni inayopatikana mkoa fulani nchini.

jamani tutafute hela. tuache kulalamika.
 
Shule za Kima secondary School na Suya secondary school za Arusha wanafunzi wote wametangaziwa kuwa mwakani wanatakiwa kulipa ada na hela ya mlinzi.

Ada ni elfu 20,000 kwa mwaka na mlinzi ni 4000 kwa mwaka, vipi shule nyingine hali ikoje wakuu? Wazazi wamepanic saaaana
Kama elfu 20,000 sio mbaya cha msingi michango ya kipuuzi isirudishwe na tozo zifutwe!
 
Lipeni ada! Elimu ni ghali sana sema tu wengi wenu hamjui thamani ya elimu! Mtu mwenye akili utakubalije kudanganywa na maneno matupu ya elimu bure wakati mtoto wako hajifunzi chochote?

Ada ya Tshs.20,000/= kwa mwaka ni kitu gani wakati watu wengine wanalipa japo Tshs.1,000,000/= ( milioni moja) kwa mwaka ili watoto wao wapate japo kidogo elimu yenye unafuu kwenye shule binafsi!
 
Mm nadhani kunautofauti Kati ya michango na ada.
 
Shule za Kima secondary School na Suya secondary school za Arusha wanafunzi wote wametangaziwa kuwa mwakani wanatakiwa kulipa ada na hela ya mlinzi.

Ada ni elfu 20,000 kwa mwaka na mlinzi ni 4000 kwa mwaka, vipi shule nyingine hali ikoje wakuu? Wazazi wamepanic saaaana
Aisee we ni mjinga,yaan ada ya elfu ishirini ndio unakuja kulialia humu JF, unategemea serikali itaboreshaje mazingira ya elimu bila fedha?!
 
sema nitamkumbuka, wengine hatuwezi kumbuka dust,
Elimu Bure ila kashindwa kuajiri walimu ,miaka mitano, anajificha kwenye kivuli Cha walimu wa sayansi.
Muhimu kushukuru Mungu sana kwa kuondoa dust.
Exct,
 
Hii taarifa yako umeifanyia uchunguzi na kuhakikisha inaukweli??Source of information ni Nini!
 
Shule za Kima secondary School na Suya secondary school za Arusha wanafunzi wote wametangaziwa kuwa mwakani wanatakiwa kulipa ada na hela ya mlinzi.

Ada ni elfu 20,000 kwa mwaka na mlinzi ni 4000 kwa mwaka, vipi shule nyingine hali ikoje wakuu? Wazazi wamepanic saaaana
Da elfu 24000 Tu unaianzishia Uzi akifika chuo je! Maana hata vyuo vya Serikali vina Ada.
 
Back
Top Bottom