Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 2,228
- 3,045
- Thread starter
- #41
Apo sasaYa kweli haya? Kama ni kweli nani alitoa hilo tangazo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apo sasaYa kweli haya? Kama ni kweli nani alitoa hilo tangazo?
Kipaumbele ni elimu bure,,why watozwe adaElfu ishirini unai diskas mbele ya watu. Halafu Ni kwa mwaka.
Gesti unalipa 25,000. Masaa mawili kondom na vocha juu hulalamiki.
Hivi vipaumbele vya watanzania Ni vipi?
Watu wanaongea hawajui maisha ya vijijiniKama watu wanakosa mpaka chakula, habari ya 20,000 kwao ni kitu kikubwa sana.
Na vijijini unakuta familia Moja Ina watoto mpaka 10, kwahiyo hapo 24,000 mara 10.
Kafe muonaneMtanikumbuka!
Kama ada itarudishwa ili fedha za serikali zifanye kazi uliyosema hata Mimi naunga mkono. mzazi kukosa Ada ya sh. 20,000 kwa mwaka ni kutokuwa seriousWarudishe ada waboreshe mazingira ya elimu, waboreshe maslahi ya walimu na kuajiri walimu wa kutosha...
Sio kweli.Shule za Kima secondary School na Suya secondary school za Arusha wanafunzi wote wametangaziwa kuwa mwakani wanatakiwa kulipa ada na hela ya mlinzi.
Ada ni elfu 20,000 kwa mwaka na mlinzi ni 4000 kwa mwaka, vipi shule nyingine hali ikoje wakuu? Wazazi wamepanic saaaana
Eeh kinapozi kaa mtu mwenye uwezo,kumbe🤣🤣🤣🤣Kibwana?
Zimerudi kwa njia ya makambi duuuh ulikuwa hujui?Shule za Kima secondary School na Suya secondary school za Arusha wanafunzi wote wametangaziwa kuwa mwakani wanatakiwa kulipa ada na hela ya mlinzi.
Ada ni elfu 20,000 kwa mwaka na mlinzi ni 4000 kwa mwaka, vipi shule nyingine hali ikoje wakuu? Wazazi wamepanic saaaana
Ha ha ha. Vipi 2025 mtaprint fomu moja Tena?Shule za Kima secondary School na Suya secondary school za Arusha wanafunzi wote wametangaziwa kuwa mwakani wanatakiwa kulipa ada na hela ya mlinzi.
Ada ni elfu 20,000 kwa mwaka na mlinzi ni 4000 kwa mwaka, vipi shule nyingine hali ikoje wakuu? Wazazi wamepanic saaaana
[emoji1][emoji1]Mlinukuu vibaya, hatukusema elimu bure.
Hangaya anashindwa hii kesi aiteme vipiWatanzania mnapenda dezo!! Yani mtu hai ushindwe kubangaiza elf 20 kuchangia ununuzi wa chaki na kupaka rangi madarasa!!!!? Huu kwel ni unyonge! Hivi wtz nani katuroga??? Samia nae ananichefua kumpakazia Mbowe kesi za ajabu mwanzoni nildhani ana chochote labda kumbe nothing
HaaaaaZimerudi kwa njia ya makambi duuuh ulikuwa hujui?
Huu ni upuuzi,kama ni mlima hamna haja ya kuzaa24, ndogo kwako kwa wengine Ni mlima
Kabisa kwanza nashangaa unazaa uzae mwenyewe afu utake watu wakutunzieKama ada itarudishwa ili fedha za serikali zifanye kazi uliyosema hata Mimi naunga mkono. mzazi kukosa Ada ya sh. 20,000 kwa mwaka ni kutokuwa serious