Ila watanzania ni watu wa ajabu,mwendazake aliwalemaza sana na alivyokuwa mtu mbadi anawambia zaeni sana(ni ujinga wa hali ya juu kuzaa watoto ambao huwezi kuwapa mahitaji yao ya msingi ikiwepo elimu) yaani some people are like headless chicken
Yaani watoto uzae wewe afu utegemee mtu baki asomeshe watoto wako,?
Watu wanalemaa ubongo ada iongezwe angalau iwe sabini
24,000/- ni soda kreti mbili tu, acheni kulialia.
Ada shuleni zimerudi?
Ndio sababu Raisi Mwalimu Nyerere alileta Uzazi wa Mpango (UMATI)Ila watanzania ni watu wa ajabu,mwendazake aliwalemaza sana na alivyokuwa mtu mbadi anawambia zaeni sana(ni ujinga wa hali ya juu kuzaa watoto ambao huwezi kuwapa mahitaji yao ya msingi ikiwepo elimu) yaani some people are like headless chicken
Yaani watoto uzae wewe afu utegemee mtu baki asomeshe watoto wako,?
Watu wanalemaa ubongo ada iongezwe angalau iwe sabini
Kuna ubaya Gani kuchangia elimu ya mwanao? Hakuna huduma ya Bure Duniani rafiki! Mbona huduma ya kutumia choo kichafu na kisichofaa Kwa matumizi ya mweñye kujitambua huko kwenye stendi zenu za mabasi mnachangia bila kulalama? Jitahidi kumlipia mtoto wako ada na michango mingine iliyoamuliwa na wazazi wenzako ili mboreshe mazingira ya ujifunzaji na acha kuwekeza baa na Kwa totos!Shule za Kima secondary School na Suya secondary school za Arusha wanafunzi wote wametangaziwa kuwa mwakani wanatakiwa kulipa ada na hela ya mlinzi.
Ada ni elfu 20,000 kwa mwaka na mlinzi ni 4000 kwa mwaka, vipi shule nyingine hali ikoje wakuu? Wazazi wamepanic saaaana
Shule za Kima secondary School na Suya secondary school za Arusha wanafunzi wote wametangaziwa kuwa mwakani wanatakiwa kulipa ada na hela ya mlinzi.
Ada ni elfu 20,000 kwa mwaka na mlinzi ni 4000 kwa mwaka, vipi shule nyingine hali ikoje wakuu? Wazazi wamepanic saaaana
Shule za Kima secondary School na Suya secondary school za Arusha wanafunzi wote wametangaziwa kuwa mwakani wanatakiwa kulipa ada na hela ya mlinzi.
Ada ni elfu 20,000 kwa mwaka na mlinzi ni 4000 kwa mwaka, vipi shule nyingine hali ikoje wakuu? Wazazi wamepanic saaaana
... halafu yeye akafyatua! ... akili zakuambiwa changanya na za kwako!Ndio sababu Raisi Mwalimu Nyerere alileta Uzazi wa Mpango (UMATI)
Hilo la Magufuli la kusema zaaeni nitawasomesha bure ilikuwa fix tu,JK alisema akili za kuambiwa changanya na za kwako.
Warudishe ada waboreshe mazingira ya elimu, waboreshe maslahi ya walimu na kuajiri walimu wa kutosha...
Kama elfu 20,000 sio mbaya cha msingi michango ya kipuuzi isirudishwe na tozo zifutwe!Shule za Kima secondary School na Suya secondary school za Arusha wanafunzi wote wametangaziwa kuwa mwakani wanatakiwa kulipa ada na hela ya mlinzi.
Ada ni elfu 20,000 kwa mwaka na mlinzi ni 4000 kwa mwaka, vipi shule nyingine hali ikoje wakuu? Wazazi wamepanic saaaana
Aisee we ni mjinga,yaan ada ya elfu ishirini ndio unakuja kulialia humu JF, unategemea serikali itaboreshaje mazingira ya elimu bila fedha?!Shule za Kima secondary School na Suya secondary school za Arusha wanafunzi wote wametangaziwa kuwa mwakani wanatakiwa kulipa ada na hela ya mlinzi.
Ada ni elfu 20,000 kwa mwaka na mlinzi ni 4000 kwa mwaka, vipi shule nyingine hali ikoje wakuu? Wazazi wamepanic saaaana
Exct,sema nitamkumbuka, wengine hatuwezi kumbuka dust,
Elimu Bure ila kashindwa kuajiri walimu ,miaka mitano, anajificha kwenye kivuli Cha walimu wa sayansi.
Muhimu kushukuru Mungu sana kwa kuondoa dust.
Kwani ni kati ya nchi ngapi unazozifaham serikali inatoza garama kubwa kwa skuli zake?Ata elfu 20, bado haitoshi. Elimu ni sector nyeti sana
Da elfu 24000 Tu unaianzishia Uzi akifika chuo je! Maana hata vyuo vya Serikali vina Ada.Shule za Kima secondary School na Suya secondary school za Arusha wanafunzi wote wametangaziwa kuwa mwakani wanatakiwa kulipa ada na hela ya mlinzi.
Ada ni elfu 20,000 kwa mwaka na mlinzi ni 4000 kwa mwaka, vipi shule nyingine hali ikoje wakuu? Wazazi wamepanic saaaana