Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ada haijawahi fatwa Sema kilichokuwa kimebadilika ni jinaShule za Kima secondary School na Suya secondary school za Arusha wanafunzi wote wametangaziwa kuwa mwakani wanatakiwa kulipa ada na hela ya mlinzi.
Ada ni elfu 20,000 kwa mwaka na mlinzi ni 4000 kwa mwaka, vipi shule nyingine hali ikoje wakuu? Wazazi wamepanic saaaana
Tattoo watu waliambiwa elimu ni bureDa elfu 24000 Tu unaianzishia Uzi akifika chuo je! Maana hata vyuo vya Serikali vina Ada.
Afu unakuta iyo 20000 ni ya chakula Cha mwanao mwaka mzima shuleni bado mtu anapata confidence ya kuja kubwabwaja hapa .....tz ni kichwa Cha mwenda wazimu ......Elfu ishirini unai diskas mbele ya watu. Halafu Ni kwa mwaka.
Gesti unalipa 25,000. Masaa mawili kondom na vocha juu hulalamiki.
Hivi vipaumbele vya watanzania Ni vipi?
Bbt hata 24000 bado ni bure. Wazazi wajifunze kuchangia toka huku chini huku vyuoni wanawaachia mizigo watoto kutegemea mikopo ambayo inawatesa Sana vijana.Tattoo watu waliambiwa elimu ni bure
Mtanzania anataka azae,Bbt hata 24000 bado ni bure. Wazazi wajifunze kuchangia toka huku chini huku vyuoni wanawaachia mizigo watoto kutegemea mikopo ambayo inawatesa Sana vijana.
Wanzuki yany..okoZilipokuwepo ada waliboresha mazingira ya elimu? Walimu walikuwa wanashinda vilabuni wanakunywa wanzuki tu,issue ni supervision ngazi zote
Mzee hujui hali za watu huku kitaaBbt hata 24000 bado ni bure. Wazazi wajifunze kuchangia toka huku chini huku vyuoni wanawaachia mizigo watoto kutegemea mikopo ambayo inawatesa Sana vijana.