Ada za maegesho ya magari ziongezwe kufikia Tsh. 5,000/= kwa saa

We utakuwa Huna Gari 🀣🀣🀣
Maana nyie ndo mnatamani wenye magari wafariki..
Badala ya wwe nawe kuomba uwe kama wao
 
Nadhani Zitafutwa kabisa,maana vyanzo vya mapato vipo vingi,maana mtoa mada anaonekana hana lesseni ya udereva hivyo kwa kuwa kanyimwa lift ya mwenye gari awe na cheti Cha afya ya akili!
 

hayo ni mawazo ya kimaskini ya kufikiri gari ni anasa wakati dunia inakaribia karne ya 22.

Kama ungetumia akili yako vizuri ungejua kuwa, huwezi kukomoa watu kutumia magari wakati hakuna njia nzuri, mbadala ya kufikisha watu mjini kwa haraka mfano treni za mwendo kasi/umeme nk.

By the way; hadi sasa gari ndio bidhaa inayolipiwa kodi nyingi kuliko bidhaa nyingine yoyote
 
Maseke ya mjini mengi sana..ngese zinagongwa tu hata ukaze vp...chekeche ni pale mzazi anakuja town na ww ni korongwee..(kolo) na anatakiwa aende muhimbili town unaambiwa utoe 5000.

Unawaka kweli kweli wakati mada ulianzisha wewe. Then wazee wa ngese na maseke wanaku bypass wanakunja kulia kuelekea lumumba we unabaki mataa ya fire...kama korongwee.
 
Hivi wenye magari binafsi wakipaki magari yao mnaaweza kuwahidumia wote kwa viwango vya ubora au unaropoka tu.
 
Ukitaka watu wasitumie usafiri wao, weka piblic transport ya heshima na ufanisi. Sio kuwakomoa wenye magari, Pumb@#%&
 
Ushauri wa kijinga huu, sawa sawa na ujinga wa serikali ya ccm kuweka Kodi kubwa za magari. Yaani ni aina Fulani ya wivu TU ili kumiliki gari iwe kama anasa wakati ni chombo muhimu Kwa usafiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…