Ada za maegesho ya magari ziongezwe kufikia Tsh. 5,000/= kwa saa

Ada za maegesho ya magari ziongezwe kufikia Tsh. 5,000/= kwa saa

Katika Kupunguza msongamano wa magari mijini na kuongeza mapato ya TARURA napendekeza yafuatayo;

1. Ada za maegesho zingeboreshwa mpaka kufikia TSH 5,000 Kwa kila gari kwa muda wa saa 1.

2. Maslahi ya Madiwani na wahudumu/ wakusanyaji ushuru (mishahara na vitendea kazi navyo viboresu
Una akili sana mpaka nyingine zinamwagika. Tena wasiishie kwenye ada ya TARURA, waende mbali zaidi katika kupunguza msongamano;

1. Kuwepo kibali maalumu cha kuingia mjini na chombo cha moto. Fomu ya kuomba kibali iwe 50,000/= na kibali chenyewe kiwe kinalipiwa 500,000/= kwa mwezi.

2. Waongeze na bei ya mafuta ili watu wasipende kutumia magari. Bei kwa lita badala ya 3200/= iwe 10,000/= kwa litq.

3. Iwekwe kodi ya uchavuzi wa hali ya hewa ya kwa moshi wa magari Tsh 500,000/= kwa mwaka.

Ikiwa hivyo utakuwa unapita barabarani njia yote nyeupe bila foleni.
 
Ili kuongeza mapato na Kupunguza msongamano Ni wakati sasa ushuru wa Maegesho ya magari uongezwe kufikia TSH. 5,000 Kwa Sana
 
Ili kuongeza mapato na Kupunguza msongamano Ni wakati sasa ushuru wa Maegesho ya magari uongezwe kufikia TSH. 5,000 Kwa Sana
Comrade, kwani kumiliki gari imekuwa ni dhambi? Mbona una hasira kali sana!! Pambana usikate tamaa. Ipo siku tu na wewe utatembea huku ukiwa umekaa. Ila upunguze wivu na chuki.
 
Wenzenu wanaongeza baada ya kuboresha usafiri wa umma, Sasa waongeze Sasa hivi kwa usafiri upi wa umma?
 
Comrade, kwani kumiliki gari imekuwa ni dhambi? Mbona una hasira kali sana!! Pambana usikate tamaa. Ipo siku tu na wewe utatembea huku ukiwa umekaa. Ila upunguze wivu na chuki.
Hahaaaa, jamaa kaandika kwa hasira kweli.
 
Akili za Mwigulu hizi za kuongeza mikodi na makato kwenye kila kitu, imarisha na ongeza public transportation za kuingia na kutoka mjini kwanza kabla ya kuja na solution za kutiana umaskini kama hizi
 
Back
Top Bottom