Chizi Jambazi
JF-Expert Member
- Sep 22, 2017
- 1,769
- 1,379
Kima weweKatika Kupunguza msongamano wa magari mijini na kuongeza mapato ya TARURA napendekeza yafuatayo;
1. Ada za maegesho zingeboreshwa mpaka kufikia TSH 5,000 Kwa kila gari kwa muda wa saa 1.
2. Maslahi ya Madiwani na wahudumu/ wakusanyaji ushuru (mishahara na vitendea kazi navyo viboreshwe).
Hata wangeboresha usafiri wa mabasi ya mwendokasi ingefanya baadhi ya watu kuwa mara nyingi wayaacha magari yao nyumbani !hayo ni mawazo ya kimaskini ya kufikiri gari ni anasa wakati dunia inakaribia karne ya 22.
Kama ungetumia akili yako vizuri ungejua kuwa, huwezi kukomoa watu kutumia magari wakati hakuna mbadala wa kufikisha watu mjini kwa haraka mfano treni za mwendo kasi mijini nk nk.
By the way; hadi sasa gari ndio bidhaa inayolipiwa kodi nyingi kuliko bidhaa nyingine yoyote.
5k kwa miaka 10 (life span max ya gari) , assuming unapaki saa moja tu kwa siku, ni milioni 20.Unanunua gari 40m TZS unalalamika Parking fee 5,000
Income yako nayo itaongezeka pia5k kwa miaka 10 (life span max ya gari) , assuming unapaki saa moja tu kwa siku, ni milioni 20.
Kwani hiyo 40 m anakua ananunua kila saa au inakuaje??Unanunua gari 40m TZS unalalamika Parking fee 5,000
Kwenu wenye magari mko wangapi? Mmekosana na wasio na magari sababu ya wivu?Msiokuwa na magari mna wivu sana.
Kwahiyo jasho langu halina kazi sio?Income yako nayo itaongezeka pia
Kazi ni kujenga barabaraKwahiyo jasho langu halina kazi sio?
Road licenseKazi ni kujenga barabara
Gari ni hitaji la msingi dunia ya leoKatika Kupunguza msongamano wa magari mijini na kuongeza mapato ya TARURA napendekeza yafuatayo;
1. Ada za maegesho zingeboreshwa mpaka kufikia TSH 5,000 Kwa kila gari kwa muda wa saa 1.
2. Maslahi ya Madiwani na wahudumu/ wakusanyaji ushuru (mishahara na vitendea kazi navyo viboreshwe).
Gharama ya gari sio kununuaaUnanunua gari 40m TZS unalalamika Parking fee 5,000
Sina gari, pikipiki wala baiskeli, ila hii comment imenichekesha sana.
Tuko pamoja mkuu.. mwenyewe sina gari lkn naona sisi watembea kwa miguu tuna hasira sana na wenye magari badala tupambane na sisi tununueSina gari, pikipiki wala baiskeli, ila hii comment imenichekesha sana. Chuki mbaya sana.
Duh!5k kwa miaka 10 (life span max ya gari) , assuming unapaki saa moja tu kwa siku, ni milioni 20.