Adaiwa kumuua mtoto wake na kumzika

Adaiwa kumuua mtoto wake na kumzika

Kwako ni utumbo lakin kwangu mm namanisha
Yani bado unakomaa kutetea utumbo wako???? Kama wewe ni mwanaume na una mawazo ya ovyoo hivii namuonea hura sana mwanamke atakaekuzalia watoto na familia yako kwa ujumla maana ni hasaraa wamepataa. Yani maisha yakiwa magumi solution pekee unayoina ni Kifo??? Tena bora ujiue ufee wewe bhasi tuone kama mtoro hataishi shwain kabisaa..
 
Tatizo ni huyo mama na mtazamo wake juu ya maisha.

Hivi unadhani huyo mama baada ya kuona maisha yake ni magumu na hawezi kumuudumia huyo mtoto, angeamua kujiua na kumuacha huyo mtoto, baada ya watu kujua amejiua na kuacha mtoto nini kingetokea kwa mtoto?

Je na yeye angeuliwa eti kwa sababu mama yake kajiua?

Au angeuliwa eti kwa sababu baba yake kamtelekeza?

Na wangapi wanaishi bila ya wazazi?

Tatizo huyo mama alijiona yeye ndiye uhai wa huyo mtoto, na hajui ya kuwa Mungu ndiye anayetoa riziki na sisi wanaadamu ni asbabu tu.
Umemaliza mkuuu...!! Kama maisha magumu kwakw na anaona solution ni kifo angejiua yeye bhasi tuone..
 
Pengine kuna mapungufu kwenye sheria zetu kuwapa haki wazazi wenza kudai gharama za matunzo!
Tuachane na sheria Mungu ndio kila kitu... Unafikiri huyo mtoto asingekua hata kama hahudumiwi na babaake? FATE...!!!

Jr[emoji769]
 
Tuachane na sheria Mungu ndio kila kitu... Unafikiri huyo mtoto asingekua hata kama hahudumiwi na babaake? FATE...!!!

Jr[emoji769]
KARMA itamsaka huyo mzazi mtelekezi killer tayari karma anakula nae sahani moja!
 
Niondolee upuuzi wako hapa Mimi si wewe,na kila mmoja anaaminia anachokijua, usilazimishe tufanane
Yani bado unakomaa kutetea utumbo wako???? Kama wewe ni mwanaume na una mawazo ya ovyoo hivii namuonea hura sana mwanamke atakaekuzalia watoto na familia yako kwa ujumla maana ni hasaraa wamepataa. Yani maisha yakiwa magumi solution pekee unayoina ni Kifo??? Tena bora ujiue ufee wewe bhasi tuone kama mtoro hataishi shwain kabisaa..
 
Pengine alifanya ngono zembe na wanaume wengi na pengine anajulikana kuwa hana mwanaume mmoja unafikiri mwanamume gani atakubali kulea mimba ihaliyakuwa anajuwa hayukopekeyake, nimtazamotu. Lakini wamama wawewazi hata kuomba msaada kwani binadamu sio wote wanaroho ngumu kunamwengne wanahuruma lakini sio kuchukuwa uamuzi wakukatisha maisha yakiumbe ambae hujui baadae atakuwa nani hii imenigusa
 
Ujinga upi? Nikuulize hivi unafurahia kuona watoto wanaolala njaa?unafurahia kuwaona watoto ambao wanakula mlo mmoja kwa siku wanaishi maisha ya taabu huyo mama ana busara sana anajijua hali take ndio maana akamua kutoa mapema dunia kabla hajaanza kuonja karaha ya dunia hii. Kwa maoni yangu hana kosa bapo
Ndo unaeleweshwa sasa ujinga ukutoke
 
Ujinga upi? Nikuulize hivi unafurahia kuona watoto wanaolala njaa?unafurahia kuwaona watoto ambao wanakula mlo mmoja kwa siku wanaishi maisha ya taabu huyo mama ana busara sana anajijua hali take ndio maana akamua kutoa mapema dunia kabla hajaanza kuonja karaha ya dunia hii. Kwa maoni yangu hana kosa bapo
Kwa hiyo kwa mtazamo wako yeyote atakaye pitia maisha ya taabu hapa duniani basi solution ni kifo?

Labda hoja yako ni kuwa mtoto hawezi kujitafutia, lakini hata mtu mzima pamoja na kutafuka kwake lakini kuna wakati hali inakuwa ngumu anakosa hata chakula, hivyo solution ni kifo?
 
Kuna haja gani ya kuleta kiumbe ambacho hata sina uwezo Wa kukilea katka maisha bora Hii hats mungu hapendi bora ubaki hii tu ww bila watoto kutesa watoto ,kama huyo mama ameamua kumuua mtoto sababu ya maisha mgumu basi yupo sahihi mtoto mwenye kichanga cha siku NNE,kwa mawazo yangu yupo sahihi
Kwa hiyo kwa mtazamo wako yeyote atakaye pitia maisha ya taabu hapa duniani basi solution ni kifo?

Labda hoja yako ni kuwa mtoto hawezi kujitafutia, lakini hata mtu mzima pamoja na kutafuka kwake lakini kuna wakati hali inakuwa ngumu anakosa hata chakula, hivyo solution ni kifo?
 
Ujinga upi? Nikuulize hivi unafurahia kuona watoto wanaolala njaa?unafurahia kuwaona watoto ambao wanakula mlo mmoja kwa siku wanaishi maisha ya taabu huyo mama ana busara sana anajijua hali take ndio maana akamua kutoa mapema dunia kabla hajaanza kuonja karaha ya dunia hii. Kwa maoni yangu hana kosa bapo
We ni tahira wa kiwango cha lami, so unashauri hao watoto wanaoteseka na njaa mtaani watafutwe wauliwe?
 
Ujinga upi? Nikuulize hivi unafurahia kuona watoto wanaolala njaa?unafurahia kuwaona watoto ambao wanakula mlo mmoja kwa siku wanaishi maisha ya taabu huyo mama ana busara sana anajijua hali take ndio maana akamua kutoa mapema dunia kabla hajaanza kuonja karaha ya dunia hii. Kwa maoni yangu hana kosa bapo
Wewe ukiona mtu analala leo jalalani kisa hana wa kumsaidia bhasi unamdharau na kudhani hana haki ya Kuishi duniani???? Bhasi ingekuwa hivyo asilimia 50 ya watu duniani wangekuwa wameshakufa maana hayo ndio maisha yao... Usijudge destiny ya mtu kwa upeo wako wa kibinadamu
 
sad sad.. 😒😒 kama alikuwa hataki kuzaa siangetumia njia za uzazi wa mpango tu au papuchi yake angeipiga plasta
 
Back
Top Bottom