Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Kwa maoni yangu, muungwana anastahili umakamu mwenyekiti wa CCM Taifa kuirithi mikoba ya Kinana, alieng'atuka kwa hiyari yake hivi karibuni. Hata hivyo hilo sio muhimu sana, but Kimbisa anafanya kazi nzuri mno, katika kukiongoza chama cha mapinduzi mkoa wa Dodoma.
Ndugu ADAM KIMBISA,
Aliwahi kua Meya wa jiji la Dar es salaam na mjumbe wa kamati kuu CCM Taifa.
Lakini pia amewahi kuhudumu kama mbunge wa Bunge la Africa Mashariki, akiwakilisha Tanzania.
Zaidi sana Alhaj ADAM KIMBISA amewahi kua katibu mkuu wa Red Cross Tanzania..
Si hivyo tu ADAM KIMBISA, amehudumu kwa kipindi kirefu, kama afisa muandamizi Wizara ya Mambo ya nje Tanzania.
Kwa kifupi ni mzoefu katika utumishi na uongozi wa chama na serikali Taifa. Ni mtu mzima mweye weledi, hekima na busara katika majukumu yake. Ni muadilifu na mchapakazi hodari mwenye mafanikio makubwa na ufanisi usio na shaka, katika kila kila jukumu au wajibu alopewa kuusimamia, kuutumikia au kuongoza.
Soma Pia: Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia
Kidumu Chama Cha Mapinduzi 🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Ndugu ADAM KIMBISA,
Aliwahi kua Meya wa jiji la Dar es salaam na mjumbe wa kamati kuu CCM Taifa.
Lakini pia amewahi kuhudumu kama mbunge wa Bunge la Africa Mashariki, akiwakilisha Tanzania.
Zaidi sana Alhaj ADAM KIMBISA amewahi kua katibu mkuu wa Red Cross Tanzania..
Si hivyo tu ADAM KIMBISA, amehudumu kwa kipindi kirefu, kama afisa muandamizi Wizara ya Mambo ya nje Tanzania.
Kwa kifupi ni mzoefu katika utumishi na uongozi wa chama na serikali Taifa. Ni mtu mzima mweye weledi, hekima na busara katika majukumu yake. Ni muadilifu na mchapakazi hodari mwenye mafanikio makubwa na ufanisi usio na shaka, katika kila kila jukumu au wajibu alopewa kuusimamia, kuutumikia au kuongoza.
Soma Pia: Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia
Kidumu Chama Cha Mapinduzi 🐒
Mungu Ibariki Tanzania