Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu anakuona mkuubasi sawa,
tutaona namna ambavyo tunaweza kufanya kazi pamoja 🐒
Mungu anakuona, siwezi kuwa ccm maisha yangu yote , ukitaka tushirikiane ondoka ccm.Ananiona vizuri sana gentleman,
na hata haya yote yanafanyika kwa weledi hivi, ni kwa Neema na Baraka za Mungu tu.
achana na imani potofu za ushirikina tafadhali gentleman, hazisaidii kitu hizo 🐒
Siasa kama mwanamziki kustaafu mpka koo likauke sauti ishindwe kutokaHivi kazi za siasa kustaafu ni miaka mingapi...
Kwa maoni yangu, muungwana anastahili umakamu mwenyekiti wa CCM Taifa kuirithi mikoba ya Kinana, alieng'atuka kwa hiyari yake hivi karibuni. Hata hivyo hilo sio muhimu sana, but Kimbisa anafanya kazi nzuri mno, katika kukiongoza chama cha mapinduzi mkoa wa Dodoma.
Ndugu ADAM KIMBISA,
Aliwahi kua Meya wa jiji la Dar es salaam na mjumbe wa kamati kuu CCM Taifa.
Lakini pia amewahi kuhudumu kama mbunge wa Bunge la Africa Mashariki, akiwakilisha Tanzania.
Zaidi sana Alhaj ADAM KIMBISA amewahi kua katibu mkuu wa Red Cross Tanzania..
Si hivyo tu ADAM KIMBISA, amehudumu kwa kipindi kirefu, kama afisa muandamizi Wizara ya Mambo ya nje Tanzania.
Kwa kifupi ni mzoefu katika utumishi na uongozi wa chama na serikali Taifa. Ni mtu mzima mweye weledi, hekima na busara katika majukumu yake. Ni muadilifu na mchapakazi hodari mwenye mafanikio makubwa na ufanisi usio na shaka, katika kila kila jukumu au wajibu alopewa kuusimamia, kuutumikia au kuongoza.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi 🐒
Mungu Ibariki Tanzania
hiyo ni haki na uhuru wako gentleman kuwa chama chochote cha siasa,Mungu anakuona, siwezi kuwa ccm maisha yangu yote , ukitaka tushirikiane ondoka ccm.
Muhuni huyo awe makamu wa mkiti CCM taifa?, pathetic mleta uziKwa maoni yangu, muungwana anastahili umakamu mwenyekiti wa CCM Taifa kuirithi mikoba ya Kinana, alieng'atuka kwa hiyari yake hivi karibuni. Hata hivyo hilo sio muhimu sana, but Kimbisa anafanya kazi nzuri mno, katika kukiongoza chama cha mapinduzi mkoa wa Dodoma.
Ndugu ADAM KIMBISA,
Aliwahi kua Meya wa jiji la Dar es salaam na mjumbe wa kamati kuu CCM Taifa.
Lakini pia amewahi kuhudumu kama mbunge wa Bunge la Africa Mashariki, akiwakilisha Tanzania.
Zaidi sana Alhaj ADAM KIMBISA amewahi kua katibu mkuu wa Red Cross Tanzania..
Si hivyo tu ADAM KIMBISA, amehudumu kwa kipindi kirefu, kama afisa muandamizi Wizara ya Mambo ya nje Tanzania.
Kwa kifupi ni mzoefu katika utumishi na uongozi wa chama na serikali Taifa. Ni mtu mzima mweye weledi, hekima na busara katika majukumu yake. Ni muadilifu na mchapakazi hodari mwenye mafanikio makubwa na ufanisi usio na shaka, katika kila kila jukumu au wajibu alopewa kuusimamia, kuutumikia au kuongoza.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi [emoji205]
Mungu Ibariki Tanzania
Unatafuta nikulambe tusi ndiyo ulalekimbelembele cha nini sasa kufungua bandiko lisilokuhusu?
Lione kwanza, alaaa!!🐒
NitakunyooshaMama Ima acha kumfunga kamba mshangazi mwenzio wa BAWACHA tafadhali sana 🐒
Si walinunua kwa pesa zaoAjabu na aibu ni kwa mijimama mijitu mizima ya BAWACHA, eti inachoma zawadi za vitenge vya Rais 🤣
NI WALE WALE WEZIhebu elezea vizur kwa kina kifupi kidogo kwa faida ya wadau gentleman
Mjinga nini, nani alinipa mtaji kama siyo akili angu?utaendelea kuwa hodari kwa kulalamika mpaka uote vigimbi na sugu za malalamiko, usipozidisha juhudi katika kufanya kazi, kwani mtaji ulionao ni nguvu zako mwenyewe 🐒