Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Mademu...😂😂Walipigana kisa nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mademu...😂😂Walipigana kisa nini
😂 Kuna saa anaweza kumuuliza msani mpya kwenye game maswali ya ajabu kabisaKwani amejamba mara moja?
Tena kwa sauti ya kuudhi
Panga siku na eneo Mkuu nitakuwa mdhamini...au tuma namba PM, ya Adam nitaipata niratibu pambanoChillah ameplay smart. Maana angepambana (kama uwezo anao) angepewa kesi kubwa sana ya kiharibu mali hapo Mawingu na ingemgharimu na pesa hana, kwa namna Clouds palivyo hapo hasa studio ugomvi mdogo tuu unaweza ukaleta hasara ya mamilioni. Huyu jamaa wa bange dawa yake akutane na Chivundu na pawe peupe kusiwe na uharibifu wa mali.
Hiii ni sababu ya kumpiga mtu kweli mbona utani tu huu ujinga SanaImagine wapo on air then anaropoka "we adam si kila siku unalalamika mama brandon anakusumbua humuelewi unataka msaada(wa kiganga)". Adam akamwambia nakuzimia mic coz unaattack my family, hata kennedy alimmind chila basi tu hana nguvu ila wangemchangia.
Adam huwa analalamika kweli 'on air' kama Shomary Kapombe?Imagine wapo on air then anaropoka "we adam si kila siku unalalamika mama brandon anakusumbua humuelewi unataka msaada(wa kiganga)". Adam akamwambia nakuzimia mic coz unaattack my family, hata kennedy alimmind chila basi tu hana nguvu ila wangemchangia.
HahahahahaHata hvyo wavuta mibangi ni kama masai wanabadilika muda wowote
Mfano mmasai mnaweza mkacheza draft ukimfunga sana unashangaa anatoa panga
Panga siku na eneo Mkuu nitakuwa mdhamini...au tuma namba PM, ya Adam nitaipata niratibu pambano
Ndiyo mlivyo vijana... Mnadanganyika na story za vijiweni... Hao wenzake wenye maisha mazur kwani wameyatangaza yakajulikana..?Ni kwakua humjui ila unayosema Siyo kweli mchomvu anamaisha mazuri kajipanga sana labda kwakua kaamua kuweka maisha ya usela nje zaidi kuliko mambo yake binafsi ila wanaomjua huyo jamaa siyo mnyonge kimaisha hata kidogo mzee
Hahaaa mzungu kichaa huwa anawapa makonzi tu wapuuzi kama haoChameleon mbali huyo mchomvu mwenyewe si alishawahi kuwekwa mabanzi
Chid kweli kidogo mwili umepungua sio kama zamani anaweza mpasua faster,ila baada ya hapo Adam ajiandae kuhama mji kwa muda.Sjasemea unyonge,hao nliowataja ni they can really provoke someone,ukiwa short tempered kama adam unawapasua fasta
Chuga mnajikuta umarekani mweusi mwingi.. Afu washamba tu tena fresh tuAaa wapi tatizo ninyi wa daslama huwa mnau much know mwingi acha mpigwe mitama 😂😂
Walivamiwa na Makonda watz wote waliwatetea. Kumbe nao walewale.Assume Adam ndio angepigwa! Q chief Angelala ndani siku saa hiyo hiyo na asingetoka studio.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Ndio.Hiyo niliamua niachane nayo vipi unataka kujua?
Wewe unatokea wapi Mkuu?Chuga mnajikuta umarekani mweusi mwingi.. Afu washamba tu tena fresh tu
Hujatuma namba chiefNakutumia namba DM, huyu punga mnamuendekeza sasa hivi anahisi anaweza mpiga kila mtu kisa amempiga Chillah!