Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mmasai mchomvu huyo mpare [emoji817]Mbona niliwah kuona historia ya Adam kuwa ni mmasai na pia anasema kadomea Uganda hadi chuo?
alitaka kumtoboa masho km scorpionKwenye mjengo wa Clouds Mgeni anapigwa Makonde mazito na hawajachukua hatua yoyote sasa hapo Mtu si anaweza akanyongwa kabisa humo studio? 🥲
Ina maana kwa Wageni kwenda Mjengo wa Clouds sio salama kwao hakuna ulinzi dhidi yao,
Q chillah atafute Mwanasheria mzuri ili iwe fundisho kwa hiyo Media na huyo mtu mzima hovyo anayejifyetua akili.
huyo demu wa adam ni anajiuza sea cliff na anajua hilo wahuni wakimcharazia yeye mambo yake anajaa upepo.Imagine wapo on air then anaropoka "we adam si kila siku unalalamika mama brandon anakusumbua humuelewi unataka msaada(wa kiganga)". Adam akamwambia nakuzimia mic coz unaattack my family, hata kennedy alimmind chila basi tu hana nguvu ila wangemchangia.
hamnaga akili nyinyiKwamba wachugga tumekukosea nini mkuu? 😁
Aaa wapi tatizo ninyi wa daslama huwa mnau much know mwingi acha mpigwe mitama 😂😂hamnaga akili nyinyi
Ndo aseme on air?huyo demu wa adam ni anajiuza sea cliff na anajua hilo wahuni wakimcharazia yeye mambo yake anajaa upepo.
Mshamba tuBangi na pombe zimemuharibu
Kaja mjini mkubwa toka mbeyaBangi na pombe zimemuharibu
Ukija dar mentality zako za ubabe kupigana uache hukohuko mkoani huku utapakwa mafuta.Aaa wapi tatizo ninyi wa daslama huwa mnau much know mwingi acha mpigwe mitama [emoji23][emoji23]
Kweli mkuu,aendelee kunyanyasa wabana pua. Siku akileta shobo Kwa wayahudi, watamsulubisha .Kuna siku atajichanganya mkuu, hawa wabongo fleva anaowapiga wamelegealegea.
Siku atajikuta kajichanganya kwa mtu mwenye hasira zake, atalazwa!
Mchomvu ni surname ya kipareMbona niliwah kuona historia ya Adam kuwa ni mmasai na pia anasema kadomea Uganda hadi chuo?
Hilo ni jeshi Kama majeshi mengine ya dunian atakimbia mji huu bwana adam..kina mjomba kanali hao.ao watu hawarudi nyuma kwenye uwanja wa vita ni either ukimbie wewe,ufe au wafe wao.Mhh Chid namba nyingine anatag lake la watoto wa Ilala boma mixer Mchikichini hawafai hata kidogo,Chid mtoe kwenye wanyonge.
Sjasemea unyonge,hao nliowataja ni they can really provoke someone,ukiwa short tempered kama adam unawapasua fastaMhh Chid namba nyingine anatag lake la watoto wa Ilala boma mixer Mchikichini hawafai hata kidogo,Chid mtoe kwenye wanyonge.