Adam Mchomvu ampiga msanii Q Chief

Adam Mchomvu ampiga msanii Q Chief

Chillah ameplay smart. Maana angepambana (kama uwezo anao) angepewa kesi kubwa sana ya kiharibu mali hapo Mawingu na ingemgharimu na pesa hana, kwa namna Clouds palivyo hapo hasa studio ugomvi mdogo tuu unaweza ukaleta hasara ya mamilioni. Huyu jamaa wa bange dawa yake akutane na Chivundu na pawe peupe kusiwe na uharibifu wa mali.
 
Kwenye mjengo wa Clouds Mgeni anapigwa Makonde mazito na hawajachukua hatua yoyote sasa hapo Mtu si anaweza akanyongwa kabisa humo studio? 🥲
Ina maana kwa Wageni kwenda Mjengo wa Clouds sio salama kwao hakuna ulinzi dhidi yao,

Q chillah atafute Mwanasheria mzuri ili iwe fundisho kwa hiyo Media na huyo mtu mzima hovyo anayejifyetua akili.
alitaka kumtoboa masho km scorpion
 
Imagine wapo on air then anaropoka "we adam si kila siku unalalamika mama brandon anakusumbua humuelewi unataka msaada(wa kiganga)". Adam akamwambia nakuzimia mic coz unaattack my family, hata kennedy alimmind chila basi tu hana nguvu ila wangemchangia.
huyo demu wa adam ni anajiuza sea cliff na anajua hilo wahuni wakimcharazia yeye mambo yake anajaa upepo.
 
Huyu jamaa ni mshamba tu kama ingekua watu wote wana react kama yeye basi angekuwa kashapigwa sana kwa sababu yeye ndo anaongoza kwa kutania wenzake tena ana matani yale ya kweli,

Na nyinyi mnaomtetea wote washamba wa mikoani hamjielewi mnawaza upumbavu wa kupigana pigana bladf***n
 
Back
Top Bottom