Katkit
JF-Expert Member
- Mar 12, 2023
- 1,893
- 4,641
Hawapigi wadhaifu, bali wanaomkosea. Hata ww ukizingua unakandwa tu.Hili choko wanalifuga sana clouds. ila anajua wa wakuwapiga. kama yeye kidume kweli asipe wenye mbavu anafuata dhaifu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawapigi wadhaifu, bali wanaomkosea. Hata ww ukizingua unakandwa tu.Hili choko wanalifuga sana clouds. ila anajua wa wakuwapiga. kama yeye kidume kweli asipe wenye mbavu anafuata dhaifu
Ni kweli kabisa, mwingine ni TID. Kwanza ni wajuaji mno, wanaamini wanajua kila kitu, hawakubali kushauriwa na ndio maana hawarudi kwenye game.Qchief na chid benz yataka moyo sana kuwavumilia
🤣🤣🤣🤣 nimecheka hapo kwenye panga🤣🤣🤣🤣🤣Hata hvyo wavuta mibangi ni kama masai wanabadilika muda wowote
Mfano mmasai mnaweza mkacheza draft ukimfunga sana unashangaa anatoa panga
Mtu anakuonya mara ya kwanza huelewi, ya pili huelewi sasa kwanini asikukande ushike adabu yako.Sasa hili nalo la kupigana?!
Nyie wahuni mpo wapi?anatafuta namba kwa wahuni ana lolote af clouds ya wanawake wAnamuogopa tu na kumpa bichwa. in case hana cash atasumbua maskini wenzie hapo redioni.
nliwahi kumuona airport alfajiri kaletwa na boda kashushiwa nje coz boda haziingii ndani. hana lolote njaa tu.
aje kwa wahuni huku af ajione alivomchumba.
Na ndio upuuzi wenyewe huoAdamu havumilii upuuzi
Na ndio upuuzi wenyewe huo
aje gine huku. watu wamechanganyikiwa tangu utoto, yaani nyaya za umeme zimewaharibu + bangi ndo kabisa.Nyie wahuni mpo wapi?
Chila aliyajuaje ayo?Imagine wapo on air then anaropoka "we adam si kila siku unalalamika mama brandon anakusumbua humuelewi unataka msaada(wa kiganga)". Adam akamwambia nakuzimia mic coz unaattack my family, hata kennedy alimmind chila basi tu hana nguvu ila wangemchangia.
unafikiri watu wanapigwa kizembe tu. Jaribu uone kama sijakutoa kimba.Hawapigi wadhaifu, bali wanaomkosea. Hata ww ukizingua unakandwa tu.
Dogo nae anaangaliaga pa kuingia! Tena alikuta Majani kapoa, ingekuwa enzi zile tungeongea mengine [emoji1787]Si alishabutuliwa na Majani kwenye Msiba wa Ngwair na akawa mpole kama kifaranga kimemwagiwa maji
Kuna vingine vitamgharimu,sasa anamshambulia mgeni wake studio tena yeye akiwa kaziniKwa alichokifanya chillah cjajua ila alichofanya mbasha pale ningekua mimi angekula ndoige nikamalizia na roba kuvumilia dharau ni kujivunjia heshima
Sawa ni kosa lakini kuna maadili ya kazi. Alafu wao wenyewe ndio huanza masihara sasa ukikuta mtu mwenye mood hiyo pia wawe wapole au wamtimue studio sio kupiga mtu ndani ya studio live.Imagine wapo on air then anaropoka "we adam si kila siku unalalamika mama brandon anakusumbua humuelewi unataka msaada(wa kiganga)". Adam akamwambia nakuzimia mic coz unaattack my family, hata kennedy alimmind chila basi tu hana nguvu ila wangemchangia.
itakuwa pungaHovyo sana alishawahi Jamba live akiwa na kina Fetty na Bdozen
mbona jamaa hanaga mdomo mbaya mkuu??? adam mabhangiii anazingua snaaaKama aliepigwa ni Q Chief ni sahihi kabisa