Adam Mchomvu ampiga msanii Q Chief

Panga siku na eneo Mkuu nitakuwa mdhamini...au tuma namba PM, ya Adam nitaipata niratibu pambano
 
Hiii ni sababu ya kumpiga mtu kweli mbona utani tu huu ujinga Sana
 
Adam huwa analalamika kweli 'on air' kama Shomary Kapombe?
 
Panga siku na eneo Mkuu nitakuwa mdhamini...au tuma namba PM, ya Adam nitaipata niratibu pambano

Nakutumia namba DM, huyu punga mnamuendekeza sasa hivi anahisi anaweza mpiga kila mtu kisa amempiga Chillah!
 
Ni kwakua humjui ila unayosema Siyo kweli mchomvu anamaisha mazuri kajipanga sana labda kwakua kaamua kuweka maisha ya usela nje zaidi kuliko mambo yake binafsi ila wanaomjua huyo jamaa siyo mnyonge kimaisha hata kidogo mzee
Ndiyo mlivyo vijana... Mnadanganyika na story za vijiweni... Hao wenzake wenye maisha mazur kwani wameyatangaza yakajulikana..?
 
Sjasemea unyonge,hao nliowataja ni they can really provoke someone,ukiwa short tempered kama adam unawapasua fasta
Chid kweli kidogo mwili umepungua sio kama zamani anaweza mpasua faster,ila baada ya hapo Adam ajiandae kuhama mji kwa muda.

Lile eneo la Ilala boma,Mchikichini mpaka kule Jangwani kuna wahuni wamepinda mpaka wamepitiliza yaani wamenyongorota, sasa hao ndio marafiki zake Chid. Sasa pata picha Adam ndio kampasua Chid then Chid ndio anaenda kuchukua tag lake na unzani unawajua wala poda wale kupigana hawajui,bali wanajua kutumia silaha.
 
Kwan jamaa anavuta bangi ya wapi, mbona wenzake wakivuta wanakuwa wapole kama wamemwagiwa maji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…