Adam Mchomvu ampiga msanii Q Chief

Qchief alianza kujinadi kwa adam kua aende akamsafishe nyota maana ni mganga wa kienyeji, hapo ndio kisa kilianzia
Kwamba Q Chilla ndo alijifanya mganga au alimuita Adam kuwa ni mganga? 🀣

Anyway wapare huwa ndio tuko hivyo hatupendagi dharau! Yani ukitaka kujua balaa la mpare kuwa msema hovyo halafu uvuke mipaka ndio utajua. πŸ˜€
 
Walifukuze kazi chizi hilo, na liende jela likaliwe na nyapara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…