Adam Mchomvu ampiga msanii Q Chief

Qchief na chid benz yataka moyo sana kuwavumilia
 
Adamu mchomvu kuinusa jela kisa kumpiga Q chief

Hii inakuja baada ya muda mfupi Q chief kufunguka mengi.. March 1 2023 Q chief akiwa anarealz Ep yake kwenye kituo cha Radio cha clouds kwenye kipindi cha Xxl Ndipo aliyoweza pokea makonde kutoka kwa mtangazaji huyo
Adam Mchomvu....


Adam mchomvu sio mara ya kwanza kutembeza vichapo mix mitamba maana hata somebody' mbacha nae ashawai kupokea kichapo toka kwa Mchomvu.


Basi kwakuwa pambano anaziweza mchomvu.. mandoga yuko kazini tuandae pambano la uhakika ili tukaone ubabe wake.
 
Mbasha ule mpunga ilibidi aupate tuu alimfanyia jamaa shambulio la aibu 😂

Ushauri
Wasiwe wanam provoke mchomvu jamaa yupo easily triggered plus HIZO MALIPS ZA KUSH simaanishi anachoma though.
 
Watz kwa umbea mnaongoza
 
Hachukuliwi hatua kwa kuwa ni wao (wachapwa makonde) ndio wanamchokoza Mchomvu bila shaka.
 
Clouds Media ni genge la wahuni waliojiajiri. Kwanini wamfukuze mwenzao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…