Akamchokoze Majani yeye si muhuni. Hivi yeye nan anakorofishana na kila mtu refer list ya watu aliowapiga kweny comments juu hapoKwanini kampiga???kampiga bila kosa??kwani adam ni kichaa??nahisi kuna chanzo ungekiweka pia tuone
Hata kipindi clouds media inarudisha mahusiano na Majani,Mchomvu ndo alitumwa kwenda kufanya nae interview kwenye msiba wa Mangwea,ingawaje Majani alifanya interview ile kishingo upandeMajani je?
Bangi na pombe zimemuharibuHuyu jamaa hakui
[emoji3][emoji3][emoji3]Hiyo mibange anayovuta na mastimu ya kuranduka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata hvyo wavuta mibangi ni kama masai wanabadilika muda wowote
Mfano mmasai mnaweza mkacheza draft ukimfunga sana unashangaa anatoa panga
Yeye mwenyewe hutania wenzake vibaya kuliko hapo. Na kama anasemaga mama Brandon anamsumbua redioni basi Qchifu hana kosa lolote.Imagine wapo on air then anaropoka "we adam si kila siku unalalamika mama brandon anakusumbua humuelewi unataka msaada(wa kiganga)". Adam akamwambia nakuzimia mic coz unaattack my family, hata kennedy alimmind chila basi tu hana nguvu ila wangemchangia.
🤣Mfano mmasai mnaweza mkacheza draft ukimfunga sana unashangaa anatoa panga
Mibangi yake na ushamba tu, kwani yeye ndo huwa anapata hasira tu ktk watangazaji woote?Adamu analeta mambo ya kitoto
it was early morning, hakukuwa na sababu ya kusingizia foleni, pia nakubaliana ya hoja yako si kila anayepanda boda hana maisha na sio kila mwenye gari amefanikiwa kimaisha pia. gari sio kipimo cha kufanikiwa.Kwenda airport na Bodaboda siyo umasikin watu wengi wanaenda na bodaboda na wana cash ya kutosha maskini ukiwa na gari moja ndo unataka uende nalo kila sehem, Bodaboda inasaidia sana kukiwa na folen huwezi kukomaa na gari kwenye folen hadi uchelewe ndege wakati Kuna njia mbadala, lakin pia labda hakua na dereva wa kurudisha gari nyumbani sasa wewe ulitaka aje na gari lirudi na Nani?
Acha mawazo ya kimaskini kwamba kila mpanda Bodaboda hana maisha
Trueana mambo ya kitoto 4 times unapiga watu mbele ya umati. watu wana watoto na wanategemewa watachukuliwaje mbele ya watu wao muhimu.
Adam hajawahi kusema llte kuhusu mke wake redioni.Yeye mwenyewe hutania wenzake vibaya kuliko hapo. Na kama anasemaga mama Brandon anamsumbua redioni basi Qchifu hana kosa lolote.
huna unalolijuaYupo XXL miaka mingi na Hana Jipya kuwavitia wasikilizaji wapya na wazamani
Kusaga fanya upgrading ya watangazaji, wengi wapo vile vile miaka nenda rudi
Sasa hili nalo la kupigana?!Imagine wapo on air then anaropoka "we adam si kila siku unalalamika mama brandon anakusumbua humuelewi unataka msaada(wa kiganga)". Adam akamwambia nakuzimia mic coz unaattack my family, hata kennedy alimmind chila basi tu hana nguvu ila wangemchangia.