digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Acha kupotosha wewe,wee unamadhambi mangapi lakini mungu anakupa hewa ,ankunyeshelea mvua ,kwahiyo unataka kusema mungu yuko upande wa lissu?Kilichotokea ni aibu kubwa Sana Kwa waandaji na hiyo ni ishara kuwa MUNGU hayupo upande wenu, kuna mengi yatatokea Kwa kila mtakalokuwa mnaliandaa
HaswaAcha kupotosha wewe,wee unamadhambi mangapi lakini mungu anakupa hewa ,ankunyeshelea mvua ,kwahiyo unataka kusema mungu yuko upande wa lissu?
Unajichekesha unataka dudu?Vipi Mwenyekiti Mbowe aliishatoaGA tamko la yeye kuvamiwa pale Dodoma usiku? Ahahahahahahahah!!!
[emoji3] [emoji16] [emoji16] lete video mkubwa tupanue bandamaDuh! Naona imekuwa fashion maana huko Somalia Rais na Makamu wamepigana hadharani kabisa
ha ha haaNami sijaona mtama hapo labda wangesema kawekewa kigingi.
Mtama ukipigwa lazima either matako yaanze chini au kichogo au sehemu ya nyuma ya mwili
Sikutegemea jibu tofauti kutoka kwa nyumbu kama wewe. Mwenzako Mmawia kajikalia kimya. Na akijibu, atajibu kinyumbu kama wewe. Subiri uone.Unajichekesha unataka dudu?
Mbasha kazingua watu hawamtaki yeye analazimisha
Jumatatu tu hapo. Mchomvu llazima akae benchi mwaka mzzima na faini miI mil5Naona akaamua amshukie kabisa,ila hii sio picha nzuri hasa kwa CMG.Sababu wiki hii Jahazi imefungiwa,alafu mtangazaji wa kituo chao nae kafanya kitendo kibaya mbele ya kadamnasi,so hata TCRA wakitaka kuwaonea huruma CMG kwa kukifungulia kipindi cha Jahazi,wakiangalia hii tabia ya Mchomvu watawaweka watangazaji wa Jahazi na Mchomvu ktk kundi moja.
Haujaona alivyokuwa anamkumbatia kumbatia hadi Adamu akapoteza balance? Itoshe kusema BASHA kapokea kichapo halali.Matope,
Reaction ya Adamu haikuwa sahihi kwa namna ambavyo tukio lilikuwa likionyeshwa katika media nyingi tena moja kwa moja,naungana na wewe kusema kwamba Adamu ndio kajishushia heshima kwa kitendo kile huku Mbasha akionyesha ukomavu kwa kujikausha.
Sijui aliambiwa nini sekunde za mwisho ambacho hatukukisikia kwa maana ile 'unajua wewe bangi sana',ni msemo wa kawaida ambao hata tusio tumia huambiwa na naamini Adamu anaujua vizuri.
Adamu kajiharibia sana,kuna deals naamini zitamkimbia kwa ile tabia ya ajabu mbele ya kadamnasi,Mbasha nae inabidi akue na kuacha shobo zisizo na msingi(naamini Frola alimkimbia kwa mengi sana tusiyoyajua).
Sasa kuvumilia ndiyo akampe mzee kwichi kwichi ngwajiboy?Leo ndio tumejua mke wa Mbasha alivumilia kiasi gani.
Hata ingekuwa mimi ningempiga
Usitafute kuhamisha magoli, kwa tukio la jana limeonyesha kuwa wana ccm wengi ni wavuta bhange sana na wewe ukiwemoVipi Mwenyekiti Mbowe aliishatoaGA tamko la yeye kuvamiwa pale Dodoma usiku? Ahahahahahahahah!!!
Ndiyo, hutaki rudi kwenu BurundiAcha kupotosha wewe,wee unamadhambi mangapi lakini mungu anakupa hewa ,ankunyeshelea mvua ,kwahiyo unataka kusema mungu yuko upande wa lissu?
Ndiyo kazi yake huyoUnajichekesha unataka dudu?
Sirundi Burundi maana CCM bado inamiaka 1000 ya kuitawala Tanzania, sasa hofu ya nini mkuu?Ndiyo, hutaki rudi kwenu Burundi
Ahahahahahahahah! Mwenyekiti Mbowe ni bonge la mstaarabu ndio maana wahuni walimvamia usiku pale Dodoma sio? Ahahahahahahahah!Usitafute kuhamisha magoli, kwa tukio la jana limeonyesha kuwa wana ccm wengi ni wavuta bhange sana na wewe ukiwemo
Cdm ikiingia madarakani lazima tuwarudishe kwenu BurundiSirundi Burundi maana CCM bado inamiaka 1000 ya kuitawala Tanzania, sasa hofu ya nini mkuu?
Hakuna mtu wa kuwasikiliza hao wavuta bhangeHawa wanengua viuno na wapiga mitama ndio washawishi wananchi kupiga kura?watu wamepotea sana
Mwaka 3020? Wewe utakuwepoCdm ikiingia madarakani lazima tuwarudishe kwenu Burundi