Uchaguzi 2020 Adam Mchomvu ampiga mtama Emmanuel Mbasha stejini kwenye tamasha la CCM uwanja wa Uhuru

Uchaguzi 2020 Adam Mchomvu ampiga mtama Emmanuel Mbasha stejini kwenye tamasha la CCM uwanja wa Uhuru

Kilichotokea ni aibu kubwa Sana Kwa waandaji na hiyo ni ishara kuwa MUNGU hayupo upande wenu, kuna mengi yatatokea Kwa kila mtakalokuwa mnaliandaa
Acha kupotosha wewe,wee unamadhambi mangapi lakini mungu anakupa hewa ,ankunyeshelea mvua ,kwahiyo unataka kusema mungu yuko upande wa lissu?
 

Naona akaamua amshukie kabisa,ila hii sio picha nzuri hasa kwa CMG.Sababu wiki hii Jahazi imefungiwa,alafu mtangazaji wa kituo chao nae kafanya kitendo kibaya mbele ya kadamnasi,so hata TCRA wakitaka kuwaonea huruma CMG kwa kukifungulia kipindi cha Jahazi,wakiangalia hii tabia ya Mchomvu watawaweka watangazaji wa Jahazi na Mchomvu ktk kundi moja.

Jumatatu tu hapo. Mchomvu llazima akae benchi mwaka mzzima na faini miI mil5
 
Matope,
Reaction ya Adamu haikuwa sahihi kwa namna ambavyo tukio lilikuwa likionyeshwa katika media nyingi tena moja kwa moja,naungana na wewe kusema kwamba Adamu ndio kajishushia heshima kwa kitendo kile huku Mbasha akionyesha ukomavu kwa kujikausha.

Sijui aliambiwa nini sekunde za mwisho ambacho hatukukisikia kwa maana ile 'unajua wewe bangi sana',ni msemo wa kawaida ambao hata tusio tumia huambiwa na naamini Adamu anaujua vizuri.

Adamu kajiharibia sana,kuna deals naamini zitamkimbia kwa ile tabia ya ajabu mbele ya kadamnasi,Mbasha nae inabidi akue na kuacha shobo zisizo na msingi(naamini Frola alimkimbia kwa mengi sana tusiyoyajua).
Haujaona alivyokuwa anamkumbatia kumbatia hadi Adamu akapoteza balance? Itoshe kusema BASHA kapokea kichapo halali.
 
Vipi Mwenyekiti Mbowe aliishatoaGA tamko la yeye kuvamiwa pale Dodoma usiku? Ahahahahahahahah!!!
Usitafute kuhamisha magoli, kwa tukio la jana limeonyesha kuwa wana ccm wengi ni wavuta bhange sana na wewe ukiwemo
 
Usitafute kuhamisha magoli, kwa tukio la jana limeonyesha kuwa wana ccm wengi ni wavuta bhange sana na wewe ukiwemo
Ahahahahahahahah! Mwenyekiti Mbowe ni bonge la mstaarabu ndio maana wahuni walimvamia usiku pale Dodoma sio? Ahahahahahahahah!
 
Back
Top Bottom