Uchaguzi 2020 Adam Mchomvu ampiga mtama Emmanuel Mbasha stejini kwenye tamasha la CCM uwanja wa Uhuru

Hapo juu nimesema Mchomvu asipoomba radhi kwa hili tukio atakua na wakati mgumu.
 
ningekuwa CMG Adamu hana kosa

kosa ni kumbetua Mbasha kimayai,alipaswa ambetue kiunyamani haswaa
 
Haya maccm tuyapige ngwala na tuyachonganishe yapigane ngwala.Ila nasikitika kutoona video ya ngwala aliyopigwa mbasha mwenye nayo angeitupia humu,ingependeza zaidi iwe ya slow motion tuone step by step za athari za mtama mpaka mlengwa anavyotua chini
 

Mbona Jonijooo hakuvaaaaa
Mbona B dozen hakuvaaa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…