Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Shauri yenu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3] [emoji16] [emoji16] lete video mkubwa tupanue bandama
Hata Mimi nakuunga mkono, mbasha ndio alikosea Sana ila inawezekana mbasha alikosea kutokana na Uwezo wake wa kufikiri, huenda mbasha akiri ndogo ilimpelekea akatenda kosa pasipo kujua hivyo mchovu alitakiwa baada Ya pale ndio amuadhibu Nyuma Ya kamera, sasa akawa na kosa kubwa kumxid mbasha maaana yeye katenda akiwa amekusudia na akatenda mbele Ya kamera, kiujumla mchovu alitenda kosa zaid, hili litapelekea uhasama Kati ya clouds na Ccm, na Ccm inaweza kuitumia tcra kuiadhibu clouds kuwa inawaajiri watu ovyo, wavuta bangi na Kwa maaana nyingne mbasha na mchovu hawatashirikishwa Jambo lolote na Ccm na clouds bila Shaka itamtimua mchovu Kazi
ningekuwa CMG Adamu hana kosaHata Mimi nakuunga mkono, mbasha ndio alikosea Sana ila inawezekana mbasha alikosea kutokana na Uwezo wake wa kufikiri, huenda mbasha akiri ndogo ilimpelekea akatenda kosa pasipo kujua hivyo mchovu alitakiwa baada Ya pale ndio amuadhibu Nyuma Ya kamera, sasa akawa na kosa kubwa kumxid mbasha maaana yeye katenda akiwa amekusudia na akatenda mbele Ya kamera, kiujumla mchovu alitenda kosa zaid, hili litapelekea uhasama Kati ya clouds na Ccm, na Ccm inaweza kuitumia tcra kuiadhibu clouds kuwa inawaajiri watu ovyo, wavuta bangi na Kwa maaana nyingne mbasha na mchovu hawatashirikishwa Jambo lolote na Ccm na clouds bila Shaka itamtimua mchovu Kazi
Kavumilia nini mume mwenye utani na mcheshi? Na anayepigwa na kudhalilishwa hadharani lakini harudishi wala halipi kisasi? Kweli mke wa Mbasha alipata mume mvumilivu!Leo ndio tumejua mke wa Mbasha alivumilia kiasi gani.
Hata ingekuwa mimi ningempiga
Hahaaamtu mwenye akili sawasawa hawezi kuvaa nguo za ccm
[emoji23][emoji23][emoji23]Huyo jamaa aliyempiga mwenzie mtama si mstaarabu, na aliyepigwa mtama mzembe sana. Hapo alitakiwa aruke naye hadi kwa mashabiki kama mieleka.
Huyu jamaa kaacha maswali mengi ukichukulia ni mtu wa Arusha kule inakotoka CHADEMA.
Alikuwa na nia ya kuchafua tamasha la CCM ? Maana sasa tamasha halijadiliwi, linajadiliwa tukio hilo tu?
Kwa nini baada ya tukio alisifiwa sana na makada wa CHADEMA?