Uchaguzi 2020 Adam Mchomvu ampiga mtama Emmanuel Mbasha stejini kwenye tamasha la CCM uwanja wa Uhuru

Yani watu huwa hawatafakari mambo, hapa kuna Jambo MUNGU kalifanya ila watu hawatajua Kwa haraka haraka, mmeandaa shughuli mmekodi matv meeeengi halafu walioko kwenye jukwaa wanapigana live na kutukanana live mamilioni Ya watu wakiwa wanatazama, maaana yake nikuwa mmetia aibu kubwa, pamoja na pesa mlizowalipa wamekuja kuwaharibia shughuli ambayo hata rais wa nchi alikuwa akiitazama, MUNGU kafanya Kwa kupitia hao wasanii mliotamba nao
 
Kumbe channel za bongo huwa mnaangalia
 
Acha kumsingizia Mungu kwenye mambo ya kijinga wewe
 
Mbasha mlevi kalewa huyo, analeta masihara kwenye kazi za watu. Alistahili kichapo.

BTW hawajapigana ila Mbasha kapigwa teke la mguu na wala hakuna issue hapo yeye ka take easy kasepa jukwaani.

Ila kwa vile nyumbu kila jambo mnataka kupata kiki tayari mmeona issue
 
Tulia Bac Utupe Umbea, Yaan Unatoa Taarifa Unakimbia Kimbia Mno Hata Hatujaelewa, Halaf Tupia Bac Hata Kavideo Tuone.
 
Mmmh,Wasema?

Penye Wengi Pana Mengi,Sidhani Km Ni inshuu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…