Uchaguzi 2020 Adam Mchomvu ampiga mtama Emmanuel Mbasha stejini kwenye tamasha la CCM uwanja wa Uhuru

Uchaguzi 2020 Adam Mchomvu ampiga mtama Emmanuel Mbasha stejini kwenye tamasha la CCM uwanja wa Uhuru

Subiri hilo jambo hutaliona milele. Usanii na ulevi unaita Mungu. Huwammnakosa mambo ya kuongea
Mkuu, labda umeamua tu kukataa ukweli, Lakini ukitizama na kufanya uchambuzi utagundua kuwa magufuli hatatoka madarakani Kwa njia za kisheria, atatoka Kwa njia zingne zitakazotiwa nguvu na mkono wa MUNGU, unajua sisi huwa ni wabishi Sana Kwa kuona kuwa vyombo vyote vya usalama viko imara, Mkuu MUNGU ana mbinu zake walai nakuambia hutakuja kuamini kiongozi hata Kama sio Mwaka huuu ila litakuja kutokea tu
 
HAKUNA Tabia Mbaya Duniani Kama KUROPOKA...hasa Kumuumiza mwengine kwa NCHA YA ULIMI...hata km Lisemwalo Ni Kweli.....

Mnamsema Adam Mchomvu....na msemeni pia mzee wetu aliyekuwa Waziri katika serikali NNE Na MZALENDO Wa kutukuka bwana TYSON...Yule hajibugi USHUBWADA kwa Maneno Bali MIKONO...

Kila mtu ana Hulka Yake....

Unapokuwa na Wengine,Jua kuwa UHURU WAKO huishia UNAPOANZIA WA WENGINE....

Heshima Ni kitu Cha bureeeee.
 
Wakuu naangalia Channel Ten uzinduzi wa nyimbo za kampeni kwa CCM nimeona Adam ndo host lakini kafanya kituko cha hovyo kwa kumpiga bunda Emmanuel Mbasha jukwaani hadi kuanguaka baada ya kuona Emmanuel Mbasha kazidisha masihara japo E Mbasha amezuga na Adam nae kazuga ila wameharibu.

Ni aibu lakini nimeona ameitwa pembeni nadhani wameenda kuyamaliza.
Migaambo wanaruka na kukanyagana [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji91] [emoji91] [emoji91] hii ngoma ya Sir Nature ni [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]
 
Yani watu huwa hawatafakari mambo, hapa kuna Jambo MUNGU kalifanya ila watu hawatajua Kwa haraka haraka, mmeandaa shughuli mmekodi matv meeeengi halafu walioko kwenye jukwaa wanapigana live na kutukanana live mamilioni Ya watu wakiwa wanatazama, maaana yake nikuwa mmetia aibu kubwa, pamoja na pesa mlizowalipa wamekuja kuwaharibia shughuli ambayo hata rais wa nchi alikuwa akiitazama, MUNGU kafanya Kwa kupitia hao wasanii mliotamba nao
Kwahio Mungu ni mchonganishi, na anapiganisha watu ? Si angezima tu umeme au kukatokea shoti ?

Hivi Imani hizi.... anyway to each his/her own...
 
Kwahio Mungu ni mchonganishi, na anapiganisha watu ? Si angezima tu umeme au kukatokea shoti ?

Hivi Imani hizi.... anyway to each his/her own...
Kiongozi hujaelewa Au ni ugumu wa Kuelewa uko nao kichwani? Nakuambia kuwa Nia ni kutia doa shughuli, sio kuwaokoa hao, amefanya hivyo kupitia wasaniii ili kutia doa na kupunguza makari Ya kusijifu waaandaji
 
Mimi sio chadema Mkuu, ila ni mtetezi wa haki za binadam, nachukizwa na magaidi wanaotumia siraha za wananchi kuuwa, kutesa, kupora, kunyanyasa ,kubagua na kueneza Chuki, mtu anajitokeza hadharani anasema kuwa watu Fulani wauwawe kesho yake huyo mtu anateuliwa kuwa Mkuu wa wilaya Au Mkoa nitakuwa mtu wa ajabu tena mnyama wa hatari sana Kama nitakuwa upande wa kiongozi wa Aina hiyo, kiongozi wa Aina hiyo ni muuuwaji katiri asietakiwa kuachwa na binadam yoyote anaemjua MUNGU.

Hivi Leo hiii ukute watu wanakumiminia risasi 32 mchana kweupeee Halafu una watoto wako na Mke ufe kisa tu umemkosoa huyo anaejiita MUNGU mtu je utajisikiaje? Watoto wako watajisikiaje? Familia majirani na Ndugu je, unataka kuniambia kuwa ukifanyiwa hivyo Mimi nifurahie nicheke?
U p u u z i i
 
Ndiye Mbasha huyo huyo aliwaaminisha kuwa bishop Gwaji kamkula mkewe 😁

Mm mpaka leo sijaamini kuwa bishop alimkula mke wa Emma ila naamini kuwa Emma aliingia ktk ndoa akiwa mvulana na akabaki na uvulana wake hadi akaboa kwa Flora mwisho wa siku bibie akagoma kuitwa Mrs Mbasha

Huyu mchizi hajauacha uvulana hadi leo, nampongeza Mchomvu kwa kumpa bunda la nguvu 😂😂
 
Mi pia nimeona ila nadhani mbasha alistahili zaidi ya alichofanyiwa maana haiwezekani umesha perform unaambiwa muda umeisha uwapishe wenzio eti anamwambia Adam kuwa anavuta bangi. Mi ningekuwa Adam ningemtia vibao
 
Mbasha mlevi kalewa huyo, analeta masihara kwenye kazi za watu. Alistahili kichapo.

BTW hawajapigana ila Mbasha kapigwa teke la mguu na wala hakuna issue hapo yeye ka take easy kasepa jukwaani.


Ila kwa vile nyumbu kila jambo mnataka kupata kiki tayari mmeona issue
Sasa nyumbu ni nani kama si wewe? Yaani unabisha kitu ambacho kila mtu kaona, pimbi kweli wewe...
 
Vipi kale ka jamaa kafupi na kenyewe kamepigwa bunda?
IMG_20200813_203733.jpg
 
Back
Top Bottom