Ila watu mna roho jamani...kuchek Chanel ten?dah hongereni
Kwani pole ndio nani?yaan na akiwa anaenda vikao vya ccm anajiona polepolee [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani pole ndio nani?
Kwa mahitaji na huduma za kupunguza mihemko hadharani, kubalansi shobo, na mitama ya kimo cha mbuzi, tafadhali muone Adam Mchomvu (baba Jonii)Sawa mkuu mimi mjinga,nijibu swali lako juu ya faida ya CCM kutawala miaka 1000 ni kuwa tutaendekea kuishi kwa amani huku rasrimali za nchi yetu zikimnufaisha kila mtanzania
Mwisho nikanushe kuwa mimi sio kapuku ka udhaniavyo
Adam ameshaomba radhi kwa Rais Magufuli..... Inatosha!Tukio la Mtangazaji wa Clouds Fm iliyopo chini ya CMG, Adam Mchomvu kumpiga ngwara muimbaji wa nyimbo za Injili Emmanuel Mbasha kwenye tamasha la kutambulisha nyimbo za kampeni za CCM, litolewe tamko endapo ujio wa Mchomvu pale uwanja wa Uhuru aliiwakilisha CMG.
Ni wiki hii TCRA ilitoa adhabu kwa Clouds fm kupitia kipindi cha Jahazi, kuzuiwa kwenda hewani, isije ikatafsiriwa kuwa Kitendo cha Adam Mchomvu ni kuharibu shughuli kama kufikisha ujumbe kwa kilichofanywa na TCRA.
Haitoshi, ni udhalilishaji kwa nini asimuombe muhusika hata kwenye media...!!?Adam ameshaomba radhi kwa Rais Magufuli..... Inatosha!
Zaidi ya waandaaji wa shughuli muhusika mwingine ni nani?!Haitoshi, ni udhalilishaji kwa nini asimuombe muhusika hata kwenye media...!!?
Na kuna siku nakumbuka walizichapa kwenye kipindi cha XXL na B12 kikiwa on air, jamaa ana tatizo pahala.Inawezekana Adam ali PRE-PLAN either kutafuta kiki!
Kuna mtu kasema Adam alimwita Mbasha kwenye na akasema kwamba Mbasha anakunywa sana maji ndio maana ni mweupe!! Hii tunajua ni kusema jamaa anajichubua! Kwanini unamwita mtu jukwaani tena kwa utani mbaya halafu yeye anakutania back tena kwa utani wa kawaida unampiga!!!
Watu kama Adam ata urafiki sitaki!! Lakini “wasela” kwenye issue kama hizi ndio wanakuwa wanatetewa hata kama wamefanya makosa ambayo yapo wazi!!
Aliyehama ni B dozen, tena amehamia EFM kwa Majizo!Huyu jamaa si ameshahamia wasafi
Aliyehama ni B dozen, tena amehamia EFM kwa Majizo!
Hakuamia Kuna kipindi alishiriki tu
Hakuamia Kuna kipindi alishiriki tu
Alionekana tu kwenye kipindi, hicho kipindi anaonekana star yoyote ni sawa mtu ahojiwe na salama useme kahamia EATV
Msemo upo mtaani huo,mimi hadi wanangu nawaambiaga acheni bangi nyie.Kabisa. Huo msemo mbona hata mimi huwa naambiwa na sijui hata bangi inafananaje