upendodaima
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 4,078
- 4,504
Ni sahihi kabisa.Ukiwafanya watu wawe masikini kimakusudi kwa kuwasomesha namba Ni lzm watakuabudu ili wasife njaa ndo wafanyavo madikteta na makomunist wote duniani.Waliangalia tumbo la siku moja na sio kwa mapenzi yao
Angeweza kumchapia mbali ya macho ya Camera ingekuwa poa sana kwa carrier yake,kufanya vile katika live coverage ni nuksi kwake.Haujaona alivyokuwa anamkumbatia kumbatia hadi Adamu akapoteza balance? Itoshe kusema BASHA kapokea kichapo halali.
Ni kweli imeharibu reputation ya Mchomvu ,nakubaliana na wewe ki career wise haijakaa poa! Maana wadau /Maboss huwa hawapendi mtu mwenye hasira za ghafla kwahiyo watu wataogopa kufanya kazi na short-tempered.Angeweza kumchapia mbali ya macho ya Camera ingekuwa poa sana kwa carrier yake,kufanya vile katika live coverage ni nuksi kwake.
Nashukuru umenielewa mkuu.Ni kweli imeharibu reputation ya Mchomvu ,nakubaliana na wewe ki career wise haijakaa poa! Maana wadau /Maboss huwa hawapendi mtu mwenye hasira za ghafla kwahiyo watu wataogopa kufanya kazi na short-tempered.
mbona yeye aliambiwa ni bangi mbele ya camera coverage 🤣Angeweza kumchapia mbali ya macho ya Camera ingekuwa poa sana kwa carrier yake,kufanya vile katika live coverage ni nuksi kwake.
😂 😂 😂 ,ikabidi ajibu kwa teke mbele ya live camera coverage au sio..mbona yeye aliambiwa ni bangi mbele ya camera coverage 🤣
Nikajua mtama mpya [emoji3][emoji3][emoji3]Mtama mwingine au ule ule?
Sure. Nikajisemea Moyoni hi mitama Sasa ishakuwa too muchNikajua mtama mpya [emoji3][emoji3][emoji3]
Ni ule ule wa pale Taifa kwenye Jambo letu. Jamaa simuon Tena kwenye Jukwaa la Kampeni. Wamemuengua?Nikajua mtama mpya [emoji3][emoji3][emoji3]
Noma sana mzee wa mabuti konki ana connection mzeeLeo tena Simba wamempa kazi !!
So leo ni Mchome day again?Leo tena Simba wamempa kazi !!