Uchaguzi 2020 Adam Mchomvu ampiga mtama Emmanuel Mbasha stejini kwenye tamasha la CCM uwanja wa Uhuru

Subiri hilo jambo hutaliona milele. Usanii na ulevi unaita Mungu. Huwammnakosa mambo ya kuongea
Mkuu, labda umeamua tu kukataa ukweli, Lakini ukitizama na kufanya uchambuzi utagundua kuwa magufuli hatatoka madarakani Kwa njia za kisheria, atatoka Kwa njia zingne zitakazotiwa nguvu na mkono wa MUNGU, unajua sisi huwa ni wabishi Sana Kwa kuona kuwa vyombo vyote vya usalama viko imara, Mkuu MUNGU ana mbinu zake walai nakuambia hutakuja kuamini kiongozi hata Kama sio Mwaka huuu ila litakuja kutokea tu
 
HAKUNA Tabia Mbaya Duniani Kama KUROPOKA...hasa Kumuumiza mwengine kwa NCHA YA ULIMI...hata km Lisemwalo Ni Kweli.....

Mnamsema Adam Mchomvu....na msemeni pia mzee wetu aliyekuwa Waziri katika serikali NNE Na MZALENDO Wa kutukuka bwana TYSON...Yule hajibugi USHUBWADA kwa Maneno Bali MIKONO...

Kila mtu ana Hulka Yake....

Unapokuwa na Wengine,Jua kuwa UHURU WAKO huishia UNAPOANZIA WA WENGINE....

Heshima Ni kitu Cha bureeeee.
 
Migaambo wanaruka na kukanyagana [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji91] [emoji91] [emoji91] hii ngoma ya Sir Nature ni [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]
 
Kwahio Mungu ni mchonganishi, na anapiganisha watu ? Si angezima tu umeme au kukatokea shoti ?

Hivi Imani hizi.... anyway to each his/her own...
 
Kwahio Mungu ni mchonganishi, na anapiganisha watu ? Si angezima tu umeme au kukatokea shoti ?

Hivi Imani hizi.... anyway to each his/her own...
Kiongozi hujaelewa Au ni ugumu wa Kuelewa uko nao kichwani? Nakuambia kuwa Nia ni kutia doa shughuli, sio kuwaokoa hao, amefanya hivyo kupitia wasaniii ili kutia doa na kupunguza makari Ya kusijifu waaandaji
 
U p u u z i i
 
Ndiye Mbasha huyo huyo aliwaaminisha kuwa bishop Gwaji kamkula mkewe 😁

Mm mpaka leo sijaamini kuwa bishop alimkula mke wa Emma ila naamini kuwa Emma aliingia ktk ndoa akiwa mvulana na akabaki na uvulana wake hadi akaboa kwa Flora mwisho wa siku bibie akagoma kuitwa Mrs Mbasha

Huyu mchizi hajauacha uvulana hadi leo, nampongeza Mchomvu kwa kumpa bunda la nguvu πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mi pia nimeona ila nadhani mbasha alistahili zaidi ya alichofanyiwa maana haiwezekani umesha perform unaambiwa muda umeisha uwapishe wenzio eti anamwambia Adam kuwa anavuta bangi. Mi ningekuwa Adam ningemtia vibao
 
Sasa nyumbu ni nani kama si wewe? Yaani unabisha kitu ambacho kila mtu kaona, pimbi kweli wewe...
 
Vipi kale ka jamaa kafupi na kenyewe kamepigwa bunda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…