chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Inawezekana wakawa kundi moja eti eeeh!?Mbona Jonijooo hakuvaaaaa
Mbona B dozen hakuvaaa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana wakawa kundi moja eti eeeh!?Mbona Jonijooo hakuvaaaaa
Mbona B dozen hakuvaaa?
CCM Polepole/Kakuru mna jambo kubwa la kujifunza hapa.Huyu jamaa kaacha maswali mengi ukichukulia ni mtu wa Arusha kule inakotoka CHADEMA.
Alikuwa na nia ya kuchafua tamasha la CCM ? Maana sasa tamasha halijadiliwi, linajadiliwa tukio hilo tu?
Kwa nini baada ya tukio alisifiwa sana na makada wa CHADEMA?
Acheni kumsingizia muumba kwa chuki zenu wenyewe mambo mengine ya kawaida tu sema mnatapatapa sana na bado october hamna kura za huruma tunakuja kuwapiga mitama kwenye sanduku la kuraYani watu huwa hawatafakari mambo, hapa kuna Jambo MUNGU kalifanya ila watu hawatajua Kwa haraka haraka, mmeandaa shughuli mmekodi matv meeeengi halafu walioko kwenye jukwaa wanapigana live na kutukanana live mamilioni Ya watu wakiwa wanatazama, maaana yake nikuwa mmetia aibu kubwa, pamoja na pesa mlizowalipa wamekuja kuwaharibia shughuli ambayo hata rais wa nchi alikuwa akiitazama, MUNGU kafanya Kwa kupitia hao wasanii mliotamba nao
MATAGA wamekosea kumleta MAANDAZI kama MBASHA..kaenda amelewa ndo kaambulia alichostahiliHuyu jamaa kaacha maswali mengi ukichukulia ni mtu wa Arusha kule inakotoka CHADEMA.
Alikuwa na nia ya kuchafua tamasha la CCM ? Maana sasa tamasha halijadiliwi, linajadiliwa tukio hilo tu?
Kwa nini baada ya tukio alisifiwa sana na makada wa CHADEMA?
Kama umeangalia clip vizuri Adam alimpa warning angalia kidole cha shada(Trigger finger) alivyokuwa anampa tahadhari.Mbasha kamkosea Adam ingawa Adam alipaswa kumkanya kwa maneno pasipo kimpiga mtama
Tatizo mbasha hakuongea maneno ya busara sasa kumwambia mwenzake bangi mbele ya hadhara sio sawa amekosea sanaCCM Polepole/Kakuru mna jambo kubwa la kujifunza hapa.
Kutumia wasanii wahuni wahuni katika matasha kama haya liwe funxo kubwa.
Wahuni wa mitaani ambao hawana itikadi yoyote mioyoni mwao ni rahisi kuvuruga kabisa matarajio ya kisiasa.
Huyo Adam ni mamluki asiyefaa katika jamii na achukuliwe hatua pamoja na waliomleta.
Ni aibu, aibu, AIBU
Yaani aibu sana, chadema sehemu mbalimbali nchini wameanza kutumia kiashiria cha ngwala kwamba katika uchaguzi watawapiga ngwala CCM kama mbasha alivyopigwa na MchomvuCCM Polepole/Kakuru mna jambo kubwa la kujifunza hapa.
Kutumia wasanii wahuni wahuni katika matasha kama haya liwe funxo kubwa.
Wahuni wa mitaani ambao hawana itikadi yoyote mioyoni mwao ni rahisi kuvuruga kabisa matarajio ya kisiasa.
Huyo Adam ni mamluki asiyefaa katika jamii na achukuliwe hatua pamoja na waliomleta.
Ni aibu, aibu, AIBU
Kuna mambo tafsiri yake ni ya kiroho tu na ndio husikika zaidi...kile kilichotegemewa kuwa matokeo chanya yamekuwa hasi na mjadala umepindukia kwingineHuyu jamaa kaacha maswali mengi ukichukulia ni mtu wa Arusha kule inakotoka CHADEMA.
Alikuwa na nia ya kuchafua tamasha la CCM ? Maana sasa tamasha halijadiliwi, linajadiliwa tukio hilo tu?
Kwa nini baada ya tukio alisifiwa sana na makada wa CHADEMA?
Kwa nini asilaumiwe yule shost aliyemchokoza? Wacheni kuisingizia Chadema kila mnapoharibikiwa. Yule fala ndiyo maana ngwaji alikuwa anamtafunia mkeweHuyu jamaa kaacha maswali mengi ukichukulia ni mtu wa Arusha kule inakotoka CHADEMA.
Alikuwa na nia ya kuchafua tamasha la CCM ? Maana sasa tamasha halijadiliwi, linajadiliwa tukio hilo tu?
Kwa nini baada ya tukio alisifiwa sana na makada wa CHADEMA?
Mbona povuCCM Polepole/Kakuru mna jambo kubwa la kujifunza hapa.
Kutumia wasanii wahuni wahuni katika matasha kama haya liwe funxo kubwa.
Wahuni wa mitaani ambao hawana itikadi yoyote mioyoni mwao ni rahisi kuvuruga kabisa matarajio ya kisiasa.
Huyo Adam ni mamluki asiyefaa katika jamii na achukuliwe hatua pamoja na waliomleta.
Ni aibu, aibu, AIBU
Uliona kilichotokea nyuma ya jukwaa?Ilikuwa utani tu wa stegini , acha uchochezi , wenyewe mbona tumefurahia tu
Hamna ila yule ni mtangazaji wa CMG ni balozi wa CMG,chochote akifanyacho kita affect CMG +ve au -ve.
Tuliposikia kuwa Uhuru kuna jambo ikabidi tuwatengenezee hilo jamboHuyu jamaa kaacha maswali mengi ukichukulia ni mtu wa Arusha kule inakotoka CHADEMA.
Alikuwa na nia ya kuchafua tamasha la CCM ? Maana sasa tamasha halijadiliwi, linajadiliwa tukio hilo tu?
Kwa nini baada ya tukio alisifiwa sana na makada wa CHADEMA?
Hamna ila yule ni mtangazaji wa CMG ni balozi wa CMG,chochote akifanyacho kita affect CMG +ve au -ve.
Ukiwafanya watu wawe masikini kimakusudi kwa kuwasomesha namba Ni lzm watakuabudu ili wasife njaa ndo wafanyavo madikteta na makomunist wote duniani.Waliangalia tumbo la siku moja na sio kwa mapenzi yaoHawa wasanii ni wa kuwasamehe tu,maisha yao wengi ni duni sana tofauti na tambo na mikogo yao kwenye social media na television.
Ni ngumu kwao kukataa hiyo chambo ya CCM ya siku chache ingawa wanajua baada ya hapo wana msoto wa miaka mitano mbele.
Wachache wanaojitambua huwezi waona wakijipendekeza,Nay huwa namkubali hapa tu.
Yutasfirie mkuuKuna mambo tafsiri yake ni ya kiroho tu na ndio husikika zaidi...kile kilichotegemewa kuwa matokeo chanya yamekuwa hasi na mjadala umepindukia kwingine
Ukisema Adamu alitumwa na Chadema inabidi useme na Mbasha pia alitumwa na Chadema maana wote tunajua chanzo cha ile kata funua ni maneno machafu kutoka kwenye kinywa cha Mbasha.Huyu jamaa kaacha maswali mengi ukichukulia ni mtu wa Arusha kule inakotoka CHADEMA.
Alikuwa na nia ya kuchafua tamasha la CCM ? Maana sasa tamasha halijadiliwi, linajadiliwa tukio hilo tu?
Kwa nini baada ya tukio alisifiwa sana na makada wa CHADEMA?
,Uliona kilichotokea nyuma ya jukwaa?