Wewe vp kwa hiyo wewe kufungiwa kipindi unaona kawaida?
Najua nakukera sasa mimi humu JF nipo jana ,leo,kesho na nitaendelea kuwepo ,ww kama upendi unaweza ukani-IGNORE ruksa,kinyume chake ni SHOBO ZAKO MWENYEWE KUNIFUATILIA.
Mimi nimezungumzia angle nyingine,Mchomvu ni mtangazaji wa CMG,balozi wa CMG kila akifanyacho kina affect CMG +ve au -ve,event ya jana ilikuwa na ilikuwa ya watu wengi hasa viongozi wa nchi hata Mchomvu baadaye aliomba msamaha,sababu aligundua alichokifanya alikosea.
KIJANA JF BADO NIPO NA NITAENDELEA KUWEPO ,huna nafasi ya kunipangia platform ya kutumia kuchangia KWANI WE SO MKE WANGU wewe kama upendi pita kimya.