Adam Mchomvu anakula unga?

siku zote tumia bhange lakini zingatia maisha yako na mfumo wa ulaji adam kachoka sana sio kama kipindi cha nyuma mwamba kaisha alaf bhange inakufanya ujiamini uko sawa kumbe ndo unapoteza mazima ila muda utatuambia kila kitu kuhusu yeye.
 

Hatumii poda ila naingiaga nae chaka tulila mambo yetu!!usiulize yapi
 
Bangi bana
Labda anakula jani yeah
 
Ngoja niende switch pale kuwauliza kina lunyaa
 
Samtaim namhurumia mchizi.
Anyways ndio hivyo madogo wa Arachuga wanaharibiwa na umarekani weusi na ujamaica. Wanatamani wangezaliwa hizo sehemu. Usela wa kidwanzi kama watoto wa Temeke kumbe ni upumbavu
 
huyu nilishamuweka kundi la comedian usimchukulie directly kivile😝😝😝
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…