Huyo jamaa mdwanzi sana kumbe ndio maana aliachwa na mke wakeMbasha akiwa na Flora, alikuwa na utulivu flani, ni mtu mzuri lakini ile kesi yake na kuachana kulimwathiri kisaikolojia.
Gwaji boy alichagiza hiyo ndoa kufa
Tena na hicho kitambi chake lazima atapike maji.[emoji23][emoji23][emoji23]Ukute ingekuwa wewe tungekuokota chini ya stage kabisa
Kama ule ulipigwa naukumbuka ukavunjika mbavu ya kushoto..Eti alimpiga mtama.....mtama gani ule!?
Hivi vitoto vya siku hizi bana....sleki kabisa.
“Dear #WashkajiZangu , kwanza nimuombe radhi Rais wetu wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, Pili kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kuniamini na kunipa nafasi ambayo bahati mbaya ilitokea tukapishana kauli jukwaani na Bwana ndugu Msanii mwenzangu, nimepokea simu mbalimbali za Viongozi wa Serikali wakinifahamisha namna nilipaswa kufanya wakati wa shambulio lile la mimi kuitwa 'ADAM Unajua we ni Bangi sana' Kwa pamoja nimewaelewa”
“Nikutake radhi pia Emmanuel Mbasha Mimi sina tatizo lolote binafsi na Wewe kilichotokea ni kukwazika na kauli yako uliyotoa dhidi yangu kwenye tukio kubwa la Kitaifa lililotazamwa na Mamilion ya Watanzania, sisi wote Vijana kuna muda tunakosea na tunawekana sawa japo njia zingine si nzuri, Asante kwa Jeshi la Polisi chini ya IGP Simon Sirro kwa maelekezo yenu. Nitayatii na kwa sasa mimi ni Balozi wenu wa hiari kabisa.
Thubutu!Kama ule ulipigwa naukumbuka ukavunjika mbavu ya kushoto..
Laini mno naye yuleNi gwajiboy aliharibu au jamaa sio dereva mzuri.? Yeye anaendeshea mjini tu kwenye barabara za lami zenye mataa.
teh tehAkaombe radhi na ofisi inayompa ugali pale CMG
wanalumumba wanamtambua sioAsingeomba radhi Angekua ametangaza vita na watu na taasisi ngingi Sana Nchi hii.
Tamasha la mtama kwa kwenda mwendo wa mbuzi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...lile tukio ndo la tuna Jambo letu ..Mtangazaji wa Clouds media Adam Mchomvu amemshukuru Rais Magufuli na CCM kwa kumuamini na kumpa jukumu la kuongoza shughuli katika tamasha la wasanii.
Kadhalika Mchomvu amemuomba radhi Rais Magufuli na CCM kwa sintofahamu iliyotokea pale jukwaani kati yake na bwana ndugu msanii mwenzie Emmanuel Mbasha lililosababishwa na hasira.
Source Ayo tv.
Maendeleo hayana vyama!
Zile sio hasira ni bangi , pombe , utoto na kulewa sifa za kijinga .....!!! Clouds wampumzishe kwa muda akipenda aende radio za wasio nidhamu .....naamini taasisi yeyote ni kubwa kuliko mtangazaji !! Nakemea kwa nguvu zote upuuzi alioufanya !! Aluokwishafanya kabla !! Amejisahau sana !!!Mtangazaji wa Clouds media Adam Mchomvu amemshukuru Rais Magufuli na CCM kwa kumuamini na kumpa jukumu la kuongoza shughuli katika tamasha la wasanii.
Kadhalika Mchomvu amemuomba radhi Rais Magufuli na CCM kwa sintofahamu iliyotokea pale jukwaani kati yake na bwana ndugu msanii mwenzie Emmanuel Mbasha lililosababishwa na hasira.
Source Ayo tv.
Maendeleo hayana vyama!
Dogo wacha utani......unazingua ujue!Tamasha la mtama kwa kwenda mwendo wa mbuzi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...lile tukio ndo la tuna Jambo letu ..
Msamaha anao yeye mwenyewe kwa kuacha kutumia Bangee. Watu kama hawa ndio wanasababisha serikali ipige marufuku utumiaji bangee...vipi kama Mbasha nae angekuwa anavuta unadhani nini kingetokea jana pale jukwaani....Mtangazaji wa Clouds media Adam Mchomvu amemshukuru Rais Magufuli na CCM kwa kumuamini na kumpa jukumu la kuongoza shughuli katika tamasha la wasanii.
Kadhalika Mchomvu amemuomba radhi Rais Magufuli na CCM kwa sintofahamu iliyotokea pale jukwaani kati yake na bwana ndugu msanii mwenzie Emmanuel Mbasha lililosababishwa na hasira.
Source Ayo tv.
Maendeleo hayana vyama!
Uaneni tu kwn tukio lenyewe lilikuwa la kishetwaniZile sio hasira ni bangi , pombe , utoto na kulewa sifa za kijinga .....!!! Clouds wampumzishe kwa muda akipenda aende radio za wasio nidhamu .....naamini taasisi yeyote ni kubwa kuliko mtangazaji !! Nakemea kwa nguvu zote upuuzi alioufanya !! Aluokwishafanya kabla !! Amejisahau sana !!!
Mbasha havuti?Msamaha anao yeye mwenyewe kwa kuacha kutumia Bangee. Watu kama hawa ndio wanasababisha serikali ipige marufuku utumiaji bangee...vipi kama Mbasha nae angekuwa anavuta unadhani nini kingetokea jana pale jukwaani....