Umeongea kweli, bangi cyo mbaya kabisaaa...watuache na bangi zetu.Nakereka sana bangi inapotajwa tajwa hovyo, mnatukosea heshima wavutaji, mnasema bangi mbaya kwani mshawahi kuvuta kenge nyie???
Mchomvu alikuwa anatekeleza maagizo ya Nape Nauye, uzinduzi wa mitama na mabuti
Clouds na makonda wanahusiana vipi na mitama wanayopigana watu kwenye jukwaa la CCM?Aiseh huyu jamaa amedhihirisha hawa clouds kiboko yao ni makonda
Unababe wa kijinga ule yaan nikiangalia nikaona kinyaa kabisa
Yaan hawajielewi hao jamaa
Tulijua mna jambo la maana kumbe jambo lenyewe ni mitama.Dogo wacha utani......unazingua ujue!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mchomvu yuko sahihi vijana wa Lumumba kama wale dawa yao mitama tu
Kwa hiyo bangi lilivyokwisha kichwani ndio kajiona mkosajiMtangazaji wa Clouds media Adam Mchomvu amemshukuru Rais Magufuli na CCM kwa kumuamini na kumpa jukumu la kuongoza shughuli katika tamasha la wasanii.
Kadhalika Mchomvu amemuomba radhi Rais Magufuli na CCM kwa sintofahamu iliyotokea pale jukwaani kati yake na bwana ndugu msanii mwenzie Emmanuel Mbasha lililosababishwa na hasira.
Source Ayo tv.
Maendeleo hayana vyama!
Mbasha havuti?
CCM walichukua hiiMtangazaji wa Clouds media Adam Mchomvu amemshukuru Rais Magufuli na CCM kwa kumuamini na kumpa jukumu la kuongoza shughuli katika tamasha la wasanii.
Kadhalika Mchomvu amemuomba radhi Rais Magufuli na CCM kwa sintofahamu iliyotokea pale jukwaani kati yake na bwana ndugu msanii mwenzie Emmanuel Mbasha lililosababishwa na hasira.
Source Ayo tv.
Maendeleo hayana vyama!
Amani na salama mtumishi. Ni Imani yangu kuwa hata Mzee Mgaya hakufurahishwa na kitendo kisicho Cha Kiungwana kilichofanywa na Adam Mchomvu. Naomba kwa niaba yangu, umuombe aongee na Mwenyekiti wa CCM Taifa Cde JPM, amfikishie masikitiko yetu Wana Tunduma juu ya kitendo kilichofanywa na ndg Adam. Adam anaweza kuwa alifanya kitendo hicho kwa maksudi ili aharibu taswira ya chama na matukio yake hasa tunapoelekea kwenye kampeni za uchaguzi mkuu. Ukumbukwe kuwa Adam ni mwanachadema.Mtangazaji wa Clouds media Adam Mchomvu amemshukuru Rais Magufuli na CCM kwa kumuamini na kumpa jukumu la kuongoza shughuli katika tamasha la wasanii.
Kadhalika Mchomvu amemuomba radhi Rais Magufuli na CCM kwa sintofahamu iliyotokea pale jukwaani kati yake na bwana ndugu msanii mwenzie Emmanuel Mbasha lililosababishwa na hasira.
Source Ayo tv.
Maendeleo hayana vyama!
[emoji2][emoji23][emoji23]Ccm na Adamu na Mbasha wote bangii zinawatesa.
teh teh teh..utachuma zambi mkuu[emoji16]Mchomvu yuko sahihi vijana wa Lumumba kama wale dawa yao mitama tu
[emoji23][emoji23]Hiyo Mibangee wanayovuta ni stimu za kulanduka
Wangepigana tu ili wavuruge huo mtamasha wao uchwara.Msamaha anao yeye mwenyewe kwa kuacha kutumia Bangee. Watu kama hawa ndio wanasababisha serikali ipige marufuku utumiaji bangee...vipi kama Mbasha nae angekuwa anavuta unadhani nini kingetokea jana pale jukwaani....
Angemvunja taya kabisa.Mchomvu yuko sahihi vijana wa Lumumba kama wale dawa yao mitama tu
Labda wakati anaondoka pale alizungumza maneno kereshi.Nimeangalia lile tukio ndio nimethibitisha kweli huyo Mchomvu ni mvuta bangi, ana ujuaji wa kishamba, hakuwa na sababu ya kumpiga Mbasha mtama wakati Mbasha tayari alikuwa anaondoka eneo la tukio, alichokifanya huyo Mchomvu ni utoto wa kutafuta sifa za kijinga.
Ila kwa akili za mbasha,nihaki kuachwa.....anamambo yakitoto na kijinga sanaMbasha akiwa na Flora, alikuwa na utulivu flani, ni mtu mzuri lakini ile kesi yake na kuachana kulimwathiri kisaikolojia.
Gwaji boy alichagiza hiyo ndoa kufa