Adam Mchomvu aomba radhi, asema alikwazika

Kwa muonekano Tu Mchovu anavuta, anakula, anaoga,anajifukiza bangi.
 
Hahaha!!! Kama sio fani yako kwakweli utaumbuka/

Utampunguzia nani midhambi isiyo hesabiki ushakaba,Ushaiba na Ushauwa/

Hiyo Mibangee wanayovuta ni stimu za kulanduka
Njisi kijana anavyobadili tabia/
Inavyoonekana amesahau Mila za Mtanzania/


What'sup Sir Nature...
 
Kuna mtu alitoa mfano wa mtu kuoga ziwani kichaa akaja akachukua nguo zake...bwana akasema Kama aliyekuwa anaoga akatoka kwenye ziwa akamkimbiza kichaa basi...wote watawaita ni vichaa wanakimbiza...somo: kuvumiliana na kuheshimiana Ni Jambo la msingi Sana..hasa kwenye kadamnasi...na kwa watu wanaojiita au wanaonekana Kama kioo Cha jamii..
 
Aache matumizi ya bangi sana.
 
Bangi hata mkulu akiwa mbeya alisema tuchome kisirisiri na tuwe wakali tena akasisitiza ya kyela.Big up Adam kwa kuwa mkali.
 
Tumekusameee kwakuwa umekiri makosa binadamu tunakosea. Endelea,piga kazi mdogo wetu ; kama mkuu wa kaya anavyosema.
 
Msamaha anao yeye mwenyewe kwa kuacha kutumia Bangee. Watu kama hawa ndio wanasababisha serikali ipige marufuku utumiaji bangee...vipi kama Mbasha nae angekuwa anavuta unadhani nini kingetokea jana pale jukwaani....
Kumbe havuti
 
Ili mradi tushaona mtamaa wao mengine watajuaa wenyeweee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hata mimi nashangaa kweli. Nimeitizama video katika angle tofauti tofauti ila sijaona kama ule ulikua mtama wa kutisha kama watu wanavyodai.
Kwa mtoto mrembo kama Mbasha ni mtamaa kwelii alafu remind you alikuwa anatembea so lazima angedondoka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Adam anaomba msamaha bhasi tuuu ila bado kammind jamaa sanaa
 
Kwa mtoto mrembo kama Mbasha ni mtamaa kwelii alafu remind you alikuwa anatembea so lazima angedondoka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Adam anaomba msamaha bhasi tuuu ila bado kammind jamaa sanaa
Huyu Adam hajafunzwa vizuri ndio tunamfunza kimtandao
Ajue Sisi walipe kodi sio kumaindi tu tumepoteza pesa nyingi kuangalia mibangeee yake
Pia, clouds ni kampuni kubwa haistaili kuendelea kuwa na watu wa kaliba ya huyo jamaa
Tutashindwa kuwapelekea kazi tutaogopa mingwala na mamimitama kama yale
Aiseh watu wanapiga mitama hatari mbele ya kamera
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…