bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,699
- 4,117
wameanza kutaniana kuhusu cd za fiesta, basi ukaingia ugomvi wakaanza kutukanana huku wapo on air.
source: Mimi mwenyewe
Mwenye kujua zaidi atuhabarishe
[JFMP3]https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=168675&d=1404383830[/JFMP3]
source: Mimi mwenyewe
Mwenye kujua zaidi atuhabarishe
[JFMP3]https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=168675&d=1404383830[/JFMP3]
watangazaji wa double xxl adam,fetty na b12 ni ubishani wa kitoto toto ulioanza hatimaye wakazichapa wakiwa on air kabisa,mchomvu dizaini ni km ana utata utata siku zote lkn leo alim challenge fetty kuhusu deal ya kurelease compilation album ambayo anaifukuzia,wkt huo huo b12 akawachallenge kua wamechelewa sana coz yeye tayari amechaiandaa china.na soon inakuja,wakati huo huo adam hakupenda hicho kitu,akasema ataitoa yeye ndipo fetty na b12 wakamchana alishindwa kutoa fiesta album tangu mwaka jana hii ataiwezea wapi,ndipo adam akaleta ugomvi na kutaka kumchapa fetty, b12 katikati akijaribu kurescue situation,ni.aibu coz yote yalikua on air na b12 mara kwa mara alijaribu kuzima mic kabla ya ugomvi na wenzake wakazidi kumuona anabana lkn nadhan alikua right.