Adam Mchomvu, Fetty na B12 watupiana maneno mazito studio huku wakiwa hewani

Adam Mchomvu, Fetty na B12 watupiana maneno mazito studio huku wakiwa hewani

Taabu ya kutumia SIGARA ----- kabla ya kwenda kibaruani......
 
Ilikuwaje ? Na kugombana kwa matus au ubishani tu
 
niliisikia hii mimi pia, sasa sijui walikuwa wanafanya utani au ni ukweli! ila mtangazaji Raymond Mshana aliyefunga kipindi kwa niaba yao alikuwa anaigiza kama anahema kwa shida kutokana na kuamulia ugomvi

hzo cd za fiesta imekuaje mpaka zilete ugomvi
 
watwangana makonde laivu studio, dj fetty kakimbizwa hospital baada ya kuumizwa vibaya

Watu wengine bwana unaleta news alert,ka habari kenyewe hakajieliezi kinacho eleweka lengo lako nini hasa? Nadhani tafuta muda pitia regulation za jf alafu ndo uje na habari usikurupukurupuke hapa sio fb sawa kijana!
 
Huu ni utovu wa nidhamu kabisa yani watangazaji mnafikia kugombana on air daaa.linatakiwa lifanywe jambo nafikiri labda hiki kipindi kina mfaa b12.
Ni aibu hii.
 
Watu wengine bwana unaleta news alert,ka habari kenyewe hakajieliezi kinacho eleweka lengo lako nini hasa? Nadhani tafuta muda pitia regulation za jf alafu ndo uje na habari usikurupukurupuke hapa sio fb sawa kijana!

Mujarabu kabisa,.
 
mabishano yao yalikua kuhusu albamu anayotaka kutoa fetty inayohusu fiesta, sa akawA kama anabaniwA vile kuipromo na kina adam na b 12, so fetty nae akaja juu, ghafla b12, kamkaba adAm, coz ni kama alikuwA anamsaidia fetty, then ugomvi ukaanzia hapo,
 
kweli ni aibu aisee nadhani b12 kidogo yuko smart,lknu smart huo ni kucompare na hao adam na fetty,wampe kipindi yeye na raymond mshana.
 
leo karibu na mwisho wa kipind cha xxl watangazaj wa kipind hiko wamegombana live kwenye kipind mpaka ray alipokuja na kuwazimia mics!
kisa ni compilation album ya fiesta.
nn maoni yako kuhusu mwenendo wao na nan alikuwa source au influencer wa ugomvi?
Umetulia sasa unaweza kuletea baadhi ya maneno waliyorushiana.!!!!
 
Lengo lao limetimia maana hadi sahivi mshawafungulia nyuzi kama 5 hapa jf japo mnajifanyaga hamuwasikilizi na ili upate ukweli kesho utaskiliza xxl na si peke yako hata wasoma uzi hata kama hawasikilizi xxl kesho baadhi watasikiliza......clouds kuanzishiwa nyuzi jf tayari inamfanya ruge atabasamu radio kusikilizwa na 'great thinkers'
 
Wameshindwa kujua mipaka yao na jinsi ya kuendesha kipindi kukiwa na mtangazaji zaidi ya mmoja.
Ni vyema hiki kipindi kifanywe na b12 pekee naona kama yeye ndio mwenye busara zaidi pale kuwazidi.
 
Back
Top Bottom