Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jaman habar hii ni ya kweli, mi sikurupuki kama ww, unae lia lia hapa, am serious[/QUOT
Umekulupukuka mkuu hata kama ni ya kweli
ww kwan umelazimishwa kuchangia kwenye hii thread au na ucjfanye we ndo unaelewa hzo regulation saana
Was.enge hao acha wapigane tu au ikiwezekana wauwane kabisa senzy zao wanakharamu kabisa hao.
Ni ivo ivo tu....Fetty anataka kutoa albam ya fiesta na adam halafu b12 akamkaba mchomvu na fetty akakimbizwa hospital.....!! yani hata cjaelewa vizuri
LILE TUKIO SIO LA KWELI.
INGAWA LILITOKEA KWELI KWA MAANA YA "LIVE"
NI ILIKUA SEHEM YA KUTENGENEZA KICK ILI WAUZE ALBAM YAO YA PAMOJA.
LKN PIA, WANAJIANDAA KWENDA LIKIZO SO KILICHOTOKEA PALE ZILE DK 5 LILIKUA NI TUKIO LA KUTENGENEZWA ILI KUTENGENEZA PESA..
MATUKIO YA NAMNA ILE YAMESHAWAI KUTOKEA KTK VITUO KADHAA VYA HABARI NA BURUDANAI KM HOT 97 FM, KISS FM, 365 the power. Nk.
So ieleweke halikua Tukio la kweli.
Sidhani kama ni kweli ilikuwa utani tu wala si kweli kwamba walikuwa wanapigana.
Umetumwa wewe!
kanituma baba ako?