darasa7
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 395
- 60
wakuu mie napingana sana na ukweli huu kwani ni UONGO mtupu kwani hawa jamaa ni watu katika watu!
Je UNAMJUA BINADAMU WA KWANZA HAPA DUNIANI! TAFADHALI FUNGUKA!
Aisee mwanzoni sikukuelewa lakini nimepata kusikia maana ya neno Adam kwa waubili wakubwa,Adam lina maana ya wingi. naona kuna kitu unajua naomba nipe maelezo kidogo.wengi awata amini ilo