Adam na Hawa walikuwa wawili hapo kale?

Adam na Hawa walikuwa wawili hapo kale?

.
.
kuna mahali katika Biblia kuna mtoto wa adam aitwae kaini alimuua ndugu yake abeli........baada ya tukio hilo tunaelezwa kwamba aliondoka nyumbani kwao akaenda kuungana na watu wengine.........swali ni kwamba kama adam na eva ndio waliotengeneza familia ya kwanza duniani,hawa watu wengine walitokea wapi?
.
mh!


hapo hapo kuna mahali wanasema alipomuua ndugu yake alitaka awekewe alama ili watu wasimzuru je unajua ni watu gani?

Mwanzo 5:1-4

Hiki ndicho kitabu cha vizazi vya Adamu. Siku ile Mungu alipoumba mtu, kwa sura ya Mungu alimfanya;
mwanamume na mwanamke aliwaumba, akawabariki akawaita jina lao Adamu, siku ile walipoumbwa.
Adamu akaishi miaka mia na thelathini, akazaa mwana kwa sura yake, kwa mfano wake, akamwita jina lake Sethi.
Siku za Adamu baada ya kumzaa Sethi zilikuwa miaka mia nane, akazaa wana, waume na wake
.
 
wakuu mie napingana sana na ukweli huu kwani ni UONGO mtupu kwani hawa jamaa ni watu katika watu!
Je UNAMJUA BINADAMU WA KWANZA HAPA DUNIANI! TAFADHALI FUNGUKA!

Unapinga kwa kuwa una uwezo wa kushika key board.
 
hapo na pingana nawe kidogo mungu aliwatengeneza watu wote hapo kabla ukisema hivyo utakuwa unataka kuniambia kuwa hapo kale waliku watu wa aina gani kwa mtazamo wako!
kama huna jibu usipende kupinga we inatakiwa uulize maswali tu,usiseme unapinga ikiwa hujui juu laHilo,nami nakusaidia tu kwamba ukweli unavyoeleza vitabu kwamba tofauti ya rangi imetokana baada ya gharika la nabii nuhu.
 
Mwanzo 3:20
Adamu akamwita mkewe jina lake Hawa; kwa kuwa yeye ndiye aliye mama yao wote walio hai.

Hao watu wengine unaowasema wewe kwamba walikuwepo, mama yao alikua nani kama tunaambiwa Hawa ndio mama wa wote walio hai?

unajua maana ya wote walio hai ? Usitafsiri juu juu mkuu utapotoka bure
 
Watu wengi kama nani ni nini referance yako? kwa mujibu wa maandiko Adam ndiyo wa kwanza kwani hakuja kiumbe kisichokuwa na mwanzo.

binadamu wa kawaida kama adam na akiwemo adamu mwenyewe
 
Mwanzo 5:1-4

Hiki ndicho kitabu cha vizazi vya Adamu. Siku ile Mungu alipoumba mtu, kwa sura ya Mungu alimfanya;
mwanamume na mwanamke aliwaumba, akawabariki akawaita jina lao Adamu, siku ile walipoumbwa.
Adamu akaishi miaka mia na thelathini, akazaa mwana kwa sura yake, kwa mfano wake, akamwita jina lake Sethi.
Siku za Adamu baada ya kumzaa Sethi zilikuwa miaka mia nane, akazaa wana, waume na wake
.

mkuu hayo yapo point ni kuwa kulikuwa na watu wengine pia!
 
kama huna jibu usipende kupinga we inatakiwa uulize maswali tu,usiseme unapinga ikiwa hujui juu laHilo,nami nakusaidia tu kwamba ukweli unavyoeleza vitabu kwamba tofauti ya rangi imetokana baada ya gharika la nabii nuhu.

sio napinga tu ndugu laa ....nimefikiria sana kabla yakutoa haya maneno
 
Kama ni mdini binadamu wakwanza adam
Kamna ni msayansi tumetoka kwa manyani
Kama ni m elien tumetengenezwa kwenye maabara tukawekwa hapa
 
Kaini akamuua Abeli.
That means Kaini alibakia Mwanaume Pekee. Alipataje watoto?

Aliwananii wadogo zake wa kike?

Walikuwepo kwani?
 
Kama ni mdini binadamu wakwanza adam
Kamna ni msayansi tumetoka kwa manyani
Kama ni m elien tumetengenezwa kwenye maabara tukawekwa hapa

wakwanza kivipi funguka ndugu! Ishu ya masokwe haina mashiko mbona yalikuepo tangu zaman na mpaka sasa hayajabadika ?
 
wakuu mie napingana sana na ukweli huu kwani ni UONGO mtupu kwani hawa jamaa ni watu katika watu!
Je UNAMJUA BINADAMU WA KWANZA HAPA DUNIANI! TAFADHALI FUNGUKA!
Kama hauamini basi nadhani atakuwa zinjanthropus
 
Kaini akamuua Abeli.
That means Kaini alibakia Mwanaume Pekee. Alipataje watoto?

Aliwananii wadogo zake wa kike?

Walikuwepo kwani?

Adam alizaa watoto wakike wengi tu kama ni mdomaji wa bible watoto wakike walikuwa hawana urithi hivyo huwezi ona wametajwa katika maandiko,wanatsjwa uzao wa kiume tu.

Kuhusu kuoa haikuwa kosa kwa wakati huo kuoa au kazaa na ndugu ambaye ni dada yako tunaona katazo hilo miaka mingi baadaye kupitia sheria ya torati kuwa alaaniwe yule alalaye na dada yake.
 
wakwanza kivipi funguka ndugu! Ishu ya masokwe haina mashiko mbona yalikuepo tangu zaman na mpaka sasa hayajabadika ?
binadamu wakwanza duniani
Ndugu kwani hujaenda shule ukasoma historia ya kina zinjathropas na neadharthol ndio useme ya maswoke haina mashiko! Ama hujui kuwa binadamu anabadilika kila siku, miaka 10000 mwonekano wa binadamu utakua tofauti na sasa.
 
Nadhani umenukuu Biblia, ikiwa ni kweli, basi Biblia haisomwi kama story fulani inahitaji tafakari, na kama unaiona ni kama hadithi "story", basi utaiona hio hadithi ilikuwa ni mfuatano wa matukio kwamba lazima ukisoma darasa la kwanza,lazima lifuate la pili, hadi mwisho
.
.
.

.
.
.
kuna mahali katika Biblia kuna mtoto wa adam aitwae kaini alimuua ndugu yake abeli........baada ya tukio hilo tunaelezwa kwamba aliondoka nyumbani kwao akaenda kuungana na watu wengine.........swali ni kwamba kama adam na eva ndio waliotengeneza familia ya kwanza duniani,hawa watu wengine walitokea wapi?
.
.
.
.
mh!
 
Hii thread naomba mods waifute mpaka mwanzisha thread aje na vielelezo vya kutosha, vifungu vya bible etc. Sio kuja na story za vijiweni humu.

Ifungwe kama ilivyofungwa ya Jason Bourne aka Yericko Nyerere kuhusu Zitto.
 
inakuwa vigumu sana huu mjadala kupata muafaka, wakati mleta mada mwenyewe ameitoa hewani na kuanza kutoamini kuwa Adamu hakuwa mwanadamu wa kwanza, ilitakiwa mleta uzi atwambie kuwa "kweli sikubaliani kuwa Adamu alikuwa binadamu wa kwanza" kutokana na sababu moja,mbili au zaidi, na source yangu ni hii, hapo ungefanya watu waumize vichwa kupinga, ila hadi sasa naona kama mleta mada kazidiwa maana wengine wamekuja na habari ya evolution- alikuwa sokwe,wengine biblia kuwa alikuwa Adamu jambo ambalo hata mleta mada anakubaliana nalo kuwa mwanadamu asili yake ni Mungu, ila anachopinga ni kuwa hakuumbwa peke yake siku ya sita ila waliumbwa wengi sana - jambo ambalo si la ukweli ukitumia rejea ya biblia,mleta mada anajikinzana mwenyewe
sio hivyo ndugu hoja ipo wazi mkuu kuwa bina adamu wakwanza sio adam
 
Kaini akamuua Abeli.
That means Kaini alibakia Mwanaume Pekee. Alipataje watoto?

Aliwananii wadogo zake wa kike?

Walikuwepo kwani?

wengine wanasema alifukuzwa kaenda mji mwingi huko akaanzisha familia yake

swali je alikuwa mwenye?
Ndio ujue kulikuwa na watu pia huko
 
binadamu wakwanza duniani
Ndugu kwani hujaenda shule ukasoma historia ya kina zinjathropas na neadharthol ndio useme ya maswoke haina mashiko! Ama hujui kuwa binadamu anabadilika kila siku, miaka 10000 mwonekano wa binadamu utakua tofauti na sasa.

je miaka 5000 baadae yale masokwe mtu yatakua binadamu ? Mkuu funguka zaidi ..fikiri
 
Back
Top Bottom