Adamu Mchomvu usiposhika adabu, yatakukuta kama yaliyomkuta Chidi Benzi "mikono mfululu"

Adamu Mchomvu usiposhika adabu, yatakukuta kama yaliyomkuta Chidi Benzi "mikono mfululu"

Hii tabia ya kupiga wasanii in public imeshakua ni tabia yako Sasa, ukidhani kuwa wewe ni nunda na ni mkakamavu sana.

Ulimpiga mtama mbasha kwenye jukwaa bila aibu na ukajizolea umaarufu ukajiona wewe ni ninja sana katika mapigano.

Muulize chidi benzi kilichompata, na yeye alikua na tabia Kama yako Tena alikua anajiita mikono mfululu akimaanisha kuwa yupo fiti katika mapigano.

Chidi alimpiga marehemu mangwea na alikuja akampiga profesa jay

Nafikiri adamu wewe ni msanii hizo stori unazo kuhusu utukutu wa chid benzi, kiufupi alikua anapenda kupiga watu ambao hata ugomvi hawapendi na siyo watu wa ugomvi kabisa.

Hutokuta sehemu marehemu ngwea kagombana na mtu au prof jay kagombana na mtu.

Lakini kilichokuja kumkuta chidi benzi ni aibu kubwa alipokuja kuchezea ngumi za kutosha na mwanahiphop mmoja anayefahamika kwa jina la kimbunga.

Kimbunga alimkanda chidi benzi ngumi za kutosha na huo ndiyo ukawa mwisho wake wakujifanya anapiga watu kumbe si lolote.

Kalapina nae kwenye show yake alimuadabisha chidi benzi mbele za watu baada ya kuleta ubabe mbele ya wanaume.

Nakusihi adamu mchomvu ipo siku utayakanyaga usije kusema hatujakubia na endelea kuwapiga hao hao wanyoge.
Sijamsikia hewani Jana kwenye kipindi cha XXL
 
Andaa pambano tu, nikawalipie kisasi akina mbasha na q chila na makolo wote aliowapiga huko uchochoroni.
Sina interest na pambano husika ila wewe uliyekerwa na mapigano hayo unatakiwa uombe ulingo mzichape na jamaa ulipe kisasi.
 
Kisa cha Kumpigaa ni Kipi??

Qchief: Mimi ni mganga siku hizi.

Mchomvu: Eti manager ,Qcheif ni mganga kweli?

Kabla Manager hajajibu ,Qchief akadakia.

Qchief: Yes ni mganga ,wewe Adam si ulisema Mkeo hataki umuoe? Njoo kwangu nikutibie

Ilikuwa kama matani hivi baada ya jibu hilo ndiyo Mchomvu akakasirika akaanza kumpa nakoz na vifuti na kutaka kumtoboa macho Qchief.
 
Sijamsikia hewani Jana kwenye kipindi cha XXL

Clouds Management inabidi wamsimamishe kwanza kazi akajifunze ethics za utangazaji ,haiwezekani "ubreak wind" kwenye kipindi studio tena makusudi halafu umtwange mtu ngumi wakati kipindi kipo hewani.

Huyu jamaa bangi zake za kuvutia chooni zinampeleka siko.
 
Huyu muda sio mrefu uongozi wa Clous utampiga chini walah hakuna media ya kumpokea,Jamaa kaanza utangazaji muda sana ila kila mwaka anakuwaga chini ya watu,Na sjui kwann hafukuzwi au kunamtu anamkazia dada yake?
[emoji16]
 
Qchief: Mimi ni mganga siku hizi.

Mchomvu: Eti manager ,Qcheif ni mganga kweli?

Kabla Manager hajajibu ,Qchief akadakia.

Qchief: Yes ni mganga ,wewe Adam si ulisema Mkeo hataki umuoe? Njoo kwangu nikutibie

Ilikuwa kama matani hivi baada ya jibu hilo ndiyo Mchomvu akakasirika akaanza kumpa nakoz na vifuti na kutaka kumtoboa macho Qchief.
Ni mjinga kabisa huyo jamaa[emoji16]
 
Back
Top Bottom