King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Wakiwa wapii mkaliii???
Kwenye kipindi on Air XXL.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakiwa wapii mkaliii???
Kwani kapiga mwingineHii tabia ya kupiga wasanii in public imeshakua ni tabia yako Sasa, ukidhani kuwa wewe ni nunda na ni mkakamavu sana.
Ulimpiga mtama mbasha kwenye jukwaa bila aibu na ukajizolea umaarufu ukajiona wewe ni ninja sana katika mapigano.
Muulize chidi benzi kilichompata, na yeye alikua na tabia Kama yako Tena alikua anajiita mikono mfululu akimaanisha kuwa yupo fiti katika mapigano.
Chidi alimpiga marehemu mangwea na alikuja akampiga profesa jay
Nafikiri adamu wewe ni msanii hizo stori unazo kuhusu utukutu wa chid benzi, kiufupi alikua anapenda kupiga watu ambao hata ugomvi hawapendi na siyo watu wa ugomvi kabisa.
Hutokuta sehemu marehemu ngwea kagombana na mtu au prof jay kagombana na mtu.
Lakini kilichokuja kumkuta chidi benzi ni aibu kubwa alipokuja kuchezea ngumi za kutosha na mwanahiphop mmoja anayefahamika kwa jina la kimbunga.
Kimbunga alimkanda chidi benzi ngumi za kutosha na huo ndiyo ukawa mwisho wake wakujifanya anapiga watu kumbe si lolote.
Kalapina nae kwenye show yake alimuadabisha chidi benzi mbele za watu baada ya kuleta ubabe mbele ya wanaume.
Nakusihi adamu mchomvu ipo siku utayakanyaga usije kusema hatujakubia na endelea kuwapiga hao hao wanyoge.
Kweli aliamua kutumia busara jamaa.Anasema kwa heshima ya Marehemu Ruge na Bwana Kusaga hakutaka kuonesha umwamba ndani ya mjengo pia alienda na Mama yake na Binti yake walikua nje wanamsubiri
Duhhh!!Qchief: Mimi ni mganga siku hizi.
Mchomvu: Eti manager ,Qcheif ni mganga kweli?
Kabla Manager hajajibu ,Qchief akadakia.
Qchief: Yes ni mganga ,wewe Adam si ulisema Mkeo hataki umuoe? Njoo kwangu nikutibie
Ilikuwa kama matani hivi baada ya jibu hilo ndiyo Mchomvu akakasirika akaanza kumpa nakoz na vifuti na kutaka kumtoboa macho Qchief.
We kila anayekuvunjia heshima huwa unamkanda.[emoji16]Si hadi hiyo siku ifike kama haijafika acha aendelee kuwakanda waduanzi wanaomvunjia heshima
Kuna Dudubaya pia leo yuko wapiHii tabia ya kupiga wasanii in public imeshakua ni tabia yako Sasa, ukidhani kuwa wewe ni nunda na ni mkakamavu sana.
Ulimpiga mtama mbasha kwenye jukwaa bila aibu na ukajizolea umaarufu ukajiona wewe ni ninja sana katika mapigano.
Muulize chidi benzi kilichompata, na yeye alikua na tabia Kama yako Tena alikua anajiita mikono mfululu akimaanisha kuwa yupo fiti katika mapigano.
Chidi alimpiga marehemu mangwea na alikuja akampiga profesa jay
Nafikiri adamu wewe ni msanii hizo stori unazo kuhusu utukutu wa chid benzi, kiufupi alikua anapenda kupiga watu ambao hata ugomvi hawapendi na siyo watu wa ugomvi kabisa.
Hutokuta sehemu marehemu ngwea kagombana na mtu au prof jay kagombana na mtu.
Lakini kilichokuja kumkuta chidi benzi ni aibu kubwa alipokuja kuchezea ngumi za kutosha na mwanahiphop mmoja anayefahamika kwa jina la kimbunga.
Kimbunga alimkanda chidi benzi ngumi za kutosha na huo ndiyo ukawa mwisho wake wakujifanya anapiga watu kumbe si lolote.
Kalapina nae kwenye show yake alimuadabisha chidi benzi mbele za watu baada ya kuleta ubabe mbele ya wanaume.
Nakusihi adamu mchomvu ipo siku utayakanyaga usije kusema hatujakubia na endelea kuwapiga hao hao wanyoge.
Kivyovyote tu mkuu.Asipobadilika, au asipofuata ushauri huu, YATAMKUTA MAMBO..!!
Haeleweki na alikuwa anajifanya mbabe sana.Kuna Dudubaya pia leo yuko wapi
Mara moja moja nawakanda, usiruhusu mtu awe huru kukuvunjia heshimaWe kila anayekuvunjia heshima huwa unamkanda.[emoji16]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Amechokwa na kila Mtu,Clouds Management inabidi wamsimamishe kwanza kazi akajifunze ethics za utangazaji ,haiwezekani "ubreak wind" kwenye kipindi studio tena makusudi halafu umtwange mtu ngumi wakati kipindi kipo hewani.
Huyu jamaa bangi zake za kuvutia chooni zinampeleka siko.
Gongo linampukutisha
Nop Mkuu, Mzee Kenny aliact movie? Inaitwaje Coward of the country auYeah Man,
Movie yake umeiona?
[emoji23][emoji23]Adam punguza kaya mwanangu.Si hadi hiyo siku ifike kama haijafika acha aendelee kuwakanda waduanzi wanaomvunjia heshima
Konki
Inategemea unajamba ukiwa wapi..!!! Mfano, watu wapo katika utulivu wa ibada, eti unaachia kijambo cha sauti halafu useme kujamba ni kawaida..!! Utakuwa huna akiliKujamba ni kawaida otherwise awe anajamba kila dakika ambayo kiitaalamu tunaita bwabwa..))
adam mshamba sana yule chalii,kavamia jiji kwa fujo.Hii tabia ya kupiga wasanii in public imeshakua ni tabia yako Sasa, ukidhani kuwa wewe ni nunda na ni mkakamavu sana.
Ulimpiga mtama mbasha kwenye jukwaa bila aibu na ukajizolea umaarufu ukajiona wewe ni ninja sana katika mapigano.
Muulize chidi benzi kilichompata, na yeye alikua na tabia Kama yako Tena alikua anajiita mikono mfululu akimaanisha kuwa yupo fiti katika mapigano.
Chidi alimpiga marehemu mangwea na alikuja akampiga profesa jay
Nafikiri adamu wewe ni msanii hizo stori unazo kuhusu utukutu wa chid benzi, kiufupi alikua anapenda kupiga watu ambao hata ugomvi hawapendi na siyo watu wa ugomvi kabisa.
Hutokuta sehemu marehemu ngwea kagombana na mtu au prof jay kagombana na mtu.
Lakini kilichokuja kumkuta chidi benzi ni aibu kubwa alipokuja kuchezea ngumi za kutosha na mwanahiphop mmoja anayefahamika kwa jina la kimbunga.
Kimbunga alimkanda chidi benzi ngumi za kutosha na huo ndiyo ukawa mwisho wake wakujifanya anapiga watu kumbe si lolote.
Kalapina nae kwenye show yake alimuadabisha chidi benzi mbele za watu baada ya kuleta ubabe mbele ya wanaume.
Nakusihi adamu mchomvu ipo siku utayakanyaga usije kusema hatujakubia na endelea kuwapiga hao hao wanyoge.
badala apigane na uchumi demu wake asijiuze viwanja ana piga wanyoge.Bangi zitakuponza chalii wa chuga.Hii tabia ya kupiga wasanii in public imeshakua ni tabia yako Sasa, ukidhani kuwa wewe ni nunda na ni mkakamavu sana.
Ulimpiga mtama mbasha kwenye jukwaa bila aibu na ukajizolea umaarufu ukajiona wewe ni ninja sana katika mapigano.
Muulize chidi benzi kilichompata, na yeye alikua na tabia Kama yako Tena alikua anajiita mikono mfululu akimaanisha kuwa yupo fiti katika mapigano.
Chidi alimpiga marehemu mangwea na alikuja akampiga profesa jay
Nafikiri adamu wewe ni msanii hizo stori unazo kuhusu utukutu wa chid benzi, kiufupi alikua anapenda kupiga watu ambao hata ugomvi hawapendi na siyo watu wa ugomvi kabisa.
Hutokuta sehemu marehemu ngwea kagombana na mtu au prof jay kagombana na mtu.
Lakini kilichokuja kumkuta chidi benzi ni aibu kubwa alipokuja kuchezea ngumi za kutosha na mwanahiphop mmoja anayefahamika kwa jina la kimbunga.
Kimbunga alimkanda chidi benzi ngumi za kutosha na huo ndiyo ukawa mwisho wake wakujifanya anapiga watu kumbe si lolote.
Kalapina nae kwenye show yake alimuadabisha chidi benzi mbele za watu baada ya kuleta ubabe mbele ya wanaume.
Nakusihi adamu mchomvu ipo siku utayakanyaga usije kusema hatujakubia na endelea kuwapiga hao hao wanyoge.
YesNop Mkuu, Mzee Kenny aliact movie? Inaitwaje Coward of the country au