Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
[emoji120][emoji120][emoji120] sikujua hata kama ana movie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji120][emoji120][emoji120] sikujua hata kama ana movie
Ilikuwa kwenye kipindi!?Qchief: Mimi ni mganga siku hizi.
Mchomvu: Eti manager ,Qcheif ni mganga kweli?
Kabla Manager hajajibu ,Qchief akadakia.
Qchief: Yes ni mganga ,wewe Adam si ulisema Mkeo hataki umuoe? Njoo kwangu nikutibie
Ilikuwa kama matani hivi baada ya jibu hilo ndiyo Mchomvu akakasirika akaanza kumpa nakoz na vifuti na kutaka kumtoboa macho Qchief.
Amuulize tid mnyama walivyoisambalatisha top band[emoji23]Nimjuavyo Q Chief, Huo ugomvi ndio kwanza mbichiii....
Huyo Adam ajiweke vizuri, Kuna siku inamkujia ambayo atajisahau kabisa kama aliwai kufanya ugomvi, ndio siku hiyo hiyo atashangaa Bisibisi inaingia Shingoni ama inapenya kwenye nyama za Tumbo....
Q-Chief ugomvi wake wa kisasi kisichoisha
Sometimes watu wanamalizana tu.Watu bado wanapigana tuu Dunia ya sasa
Demu wake Nani Tena huyo mjuba fungua code mkuu.badala apigane na uchumi demu wake asijiuze viwanja ana piga wanyoge.Bangi zitakuponza chalii wa chuga.
Anakutana na makoloadam mshamba sana yule chalii,kavamia jiji kwa fujo.
siku zake zinahesabika.
Sometimes you gotta fight when you're a man""You don't have to fight to be a Man"
Unknown
Fighting can't make u a Man...!Sometimes you gotta fight when you're a man"
Cheki comment yangu maneno yote hayo yapo kwenye Country Music; Wosia wa Baba kwa mtoto wake Baba huyu alivyofia Jela..Fighting can't make u a Man...!
Fighting can't change your sex status
You are still a Man even without fighting..!
Hayo juu maneno nimeweka ni ya Kenny Rogers katika Kazi yake...., Lakini nilichonukuu ni baada ya Mdau hapo juu Ku-qoute baadhi ya maneno ambayo ni ya kweli "you don't have to fight to be a man" Nikajibu mengine... "Sometimes you gotta fight when you're a man"Fighting can't make u a Man...!
Fighting can't change your sex status
You are still a Man even without fighting..!
Aiseeee mkuu agiza pepsi kwanza unywe bili juu yangu naupenda sana huu wimboCheki comment yangu maneno yote hayo yapo kwenye Country Music; Wosia wa Baba kwa mtoto wake Baba huyu alivyofia Jela..
I still recall the final words my brother said to TommyLakini baada ya wapuuzi kumbaka mpenzi wake Tommy kwa masikitiko alifanya yafuatayo
"Son, my life is over, but yours has just begun"
"Promise me, son, not to do the things I've done
Walk away from trouble if you can
Now it won't mean you're weak if you turn the other cheek
I hope you're old enough to understand
Son, you don't have to fight to be a man"
Tommy opened up the door and saw Becky crying
The torn dress, the shattered look was more than he could stand
He reached above the fireplace and took down his daddy's picture
As his tears fell on his daddy's face, he heard these words again
"Promise me, Son, not to do the things I've done
Walk away from trouble if you can
Now it won't mean you're weak if you turn the other cheek
I hope you're old enough to understand
Son, you don't have to fight to be a man"
Tommy akaondoka na kwenda Bar kwa wale wapuuzi
The Gatlin boys just laughed at him when he walked into the bar room
One of them got up and met him half way cross the floor
When Tommy turned around they said, "Hey look! Old Yellow's leaving"
But you could've heard a pin drop when Tommy stopped and locked the door
Twenty years of crawling was bottled up inside him
He wasn't holding nothing back, he let 'em have it all
When Tommy left the bar room, not a Gatlin boy was standing
He said, "This one's for Becky", as he watched the last one fall
Baada ya kuwafunza adabu alisema yafuatayo
And I heard him say
"I promised you, Dad, not to do the things you've done
I walk away from trouble when I can
Now please don't think I'm weak, I didn't turn the other cheek
And Papa, I should hope you understand
Sometimes you gotta fight when you're a man"
Adam mabangiHii tabia ya kupiga wasanii in public imeshakua ni tabia yako Sasa, ukidhani kuwa wewe ni nunda na ni mkakamavu sana.
Ulimpiga mtama mbasha kwenye jukwaa bila aibu na ukajizolea umaarufu ukajiona wewe ni ninja sana katika mapigano.
Muulize chidi benzi kilichompata, na yeye alikua na tabia Kama yako Tena alikua anajiita mikono mfululu akimaanisha kuwa yupo fiti katika mapigano.
Chidi alimpiga marehemu mangwea na alikuja akampiga profesa jay
Nafikiri adamu wewe ni msanii hizo stori unazo kuhusu utukutu wa chid benzi, kiufupi alikua anapenda kupiga watu ambao hata ugomvi hawapendi na siyo watu wa ugomvi kabisa.
Hutokuta sehemu marehemu ngwea kagombana na mtu au prof jay kagombana na mtu.
Lakini kilichokuja kumkuta chidi benzi ni aibu kubwa alipokuja kuchezea ngumi za kutosha na mwanahiphop mmoja anayefahamika kwa jina la kimbunga.
Kimbunga alimkanda chidi benzi ngumi za kutosha na huo ndiyo ukawa mwisho wake wakujifanya anapiga watu kumbe si lolote.
Kalapina nae kwenye show yake alimuadabisha chidi benzi mbele za watu baada ya kuleta ubabe mbele ya wanaume.
Nakusihi adamu mchomvu ipo siku utayakanyaga usije kusema hatujakubia na endelea kuwapiga hao hao wanyoge.
Chugga huwa anakuja kuchukua mmea na kurudi Dar tuuAende huko chugga kwao akapigane aone Kama hawajampiga Beto😅
Sawa kwa mbasha na kwa qchila je unatoa maoni ganiLakini upande wa pili,, tunapaswa kuheshimiana sana,,,
Mfano chanzo cha Emmanuel Mbasha kupigwa ilikuwa ni baada ya kumuita Adam ni Mvuta bangi hadharani.
-Hawa watu maarufu wakati mwingine wanasimama kama taasisi unapoamchafua huwezi juwa anaathirika kiasi gani kwenye biashara zake...si vizuri hata kama si kwa .mtu maarufu.
-Utu na kuheshimiana kubaki palepale hakuna mkamilifu .
Inawezekana wewe huvuti bangi lakini una matatizo yako mabaya tu watu wanakuvumilia.
-Take this: Hakuna mtu anayependa sifa mbaya hata kama ni kweli yupo hivyo.
Bangi inavutwa na wengi lakini watu wapo smart hawana ugomvi Kama huo.Adam mabangi
Kweli lkn kuna ambao hizo bangi zinawapeleka mno.Bangi inavutwa na wengi lakini watu wapo smart hawana ugomvi Kama huo.