NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
-
- #21
[emoji16] dah huyo jamaa bangi zinampeleka kubaya.Kuna interview DJ fetty alifanya na Salama, Fetty anasema Adam aliwahi kujamba studio makusudi ,sasa unaeza kuelewa jamaa ana akili gani
Hachukui round huyo kukujitokeze mzichape maneno mengi hayatakiwi.
Hajakutana na wababe huyo kuku.Huyo ni limbukeni fulani hivi akikua ataacha
Anapiga wanyonge.naona kimemuwakia na Q Chillah
Basi fanya mchapaneHachukui round huyo kuku
Kweli kabisa mkuu upo sahihiHuwa anaangalia na wakumpiga, ameshafanya mahojiano na Kalapina mara kadhaa lakini interviews zote huwa anakuwa na Adabu kupita kiasi. Anawapiga hao laini laini tu kama Mbasha na Q-chilla
Andaa pambano tu, nikawalipie kisasi akina mbasha na q chila na makolo wote aliowapiga huko uchochoroni.Basi fanya mchapane
sometimes you have got to fight when you are a man."You don't have to fight to be a Man"
Unknown
Sijamsikia hewani Jana kwenye kipindi cha XXLHii tabia ya kupiga wasanii in public imeshakua ni tabia yako Sasa, ukidhani kuwa wewe ni nunda na ni mkakamavu sana.
Ulimpiga mtama mbasha kwenye jukwaa bila aibu na ukajizolea umaarufu ukajiona wewe ni ninja sana katika mapigano.
Muulize chidi benzi kilichompata, na yeye alikua na tabia Kama yako Tena alikua anajiita mikono mfululu akimaanisha kuwa yupo fiti katika mapigano.
Chidi alimpiga marehemu mangwea na alikuja akampiga profesa jay
Nafikiri adamu wewe ni msanii hizo stori unazo kuhusu utukutu wa chid benzi, kiufupi alikua anapenda kupiga watu ambao hata ugomvi hawapendi na siyo watu wa ugomvi kabisa.
Hutokuta sehemu marehemu ngwea kagombana na mtu au prof jay kagombana na mtu.
Lakini kilichokuja kumkuta chidi benzi ni aibu kubwa alipokuja kuchezea ngumi za kutosha na mwanahiphop mmoja anayefahamika kwa jina la kimbunga.
Kimbunga alimkanda chidi benzi ngumi za kutosha na huo ndiyo ukawa mwisho wake wakujifanya anapiga watu kumbe si lolote.
Kalapina nae kwenye show yake alimuadabisha chidi benzi mbele za watu baada ya kuleta ubabe mbele ya wanaume.
Nakusihi adamu mchomvu ipo siku utayakanyaga usije kusema hatujakubia na endelea kuwapiga hao hao wanyoge.
Hata leoSijamsikia hewani Jana kwenye kipindi cha XXL
Sina interest na pambano husika ila wewe uliyekerwa na mapigano hayo unatakiwa uombe ulingo mzichape na jamaa ulipe kisasi.Andaa pambano tu, nikawalipie kisasi akina mbasha na q chila na makolo wote aliowapiga huko uchochoroni.
Kisa cha Kumpigaa ni Kipi??
Sijamsikia hewani Jana kwenye kipindi cha XXL
Hata leo
Ahahaha hiv tasnia ya habari ni mahsusi kwa ajili ya watu wenye changamoto ya afya ya akili Au.??Kuna interview DJ fetty alifanya na Salama, Fetty anasema Adam aliwahi kujamba studio makusudi ,sasa unaeza kuelewa jamaa ana akili gani
Huyu muda sio mrefu uongozi wa Clous utampiga chini walah hakuna media ya kumpokea,Jamaa kaanza utangazaji muda sana ila kila mwaka anakuwaga chini ya watu,Na sjui kwann hafukuzwi au kunamtu anamkazia dada yake?Hata leo
Mkuu, hata mimi sijui ila jamaa ndiyo mwehu maana alikitoa wakiwa on airAhahaha hiv tasnia ya habari ni mahsusi kwa ajili ya watu wenye changamoto ya afya ya akili Au.??
Sasa huyo Fetty ndio mambo gan ya kuongea kuhusu mtu mwengine??
[emoji16]Huyu muda sio mrefu uongozi wa Clous utampiga chini walah hakuna media ya kumpokea,Jamaa kaanza utangazaji muda sana ila kila mwaka anakuwaga chini ya watu,Na sjui kwann hafukuzwi au kunamtu anamkazia dada yake?
Ni mjinga kabisa huyo jamaa[emoji16]Qchief: Mimi ni mganga siku hizi.
Mchomvu: Eti manager ,Qcheif ni mganga kweli?
Kabla Manager hajajibu ,Qchief akadakia.
Qchief: Yes ni mganga ,wewe Adam si ulisema Mkeo hataki umuoe? Njoo kwangu nikutibie
Ilikuwa kama matani hivi baada ya jibu hilo ndiyo Mchomvu akakasirika akaanza kumpa nakoz na vifuti na kutaka kumtoboa macho Qchief.