GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #21
Absolutely.Every single second she has to be standby
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Absolutely.Every single second she has to be standby
Tangia lini GENTAMYCINE nikawa na Utani nawe GLOBAL CERTIFIED FOOL? Chokoza wote hapa JamiiForums ila siyo Mimi Ok?wacha kuhusisha baba yake kwenye utani wenu🤣
Tena haraka sana tu.PSU ( presidential Security Unit) waliangalie
kwani wewe nani? Si mtu tu kama wengine?Tangia lini GENTAMYCINE nikawa na Utani nawe GLOBAL CERTIFIED FOOL? Chokoza wote hapa JamiiForums ila siyo Mimi Ok?
Mimi ni Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer GENTAMYCINE The only King and All Rounder Man.kwani wewe nani? Si mtu tu kama wengine?
Taratibu za kuwa ADC ( Mpambe ) wa Rais yoyote yule duniani hazielekezi kufanyika hicho alichokifanya huyo Dada ADC.Wakuu wake wa kazi watalitazama hilo kama ni kweli taratibu zinaelekeza hivyo!
Ukisema ni mtu free unamaanisha anaweza kuwa kama mpigakura wahuko kazulamimba?Lingekuwa ni kosa,Rais asingeiweka kwenye mtandao wa X. Hata hivyo ADC hahusiani na wengi wanavyodhani. Ni mtu free tu ingawa anaweza kusaidia baadhi ya mambo ya TISS.
Kucheka ni kitendo cha kuhemka. Hiyo kazi na mihemko haiendani. Saa zote akili inapaswa kuwa makini na mazingira yanayomzunguka mkuu wa nchi, kuchekeshwa ukacheka inamaana akili haipo kwenye ulinzi kwa sekunde hizo ulizozitumia kuchekeshwa ukacheka.Akicheka au kutabasamu rais anapata madhara gani.?
Kwanini?nakubaliana na genta 100%, mpambe wa rais hatakiwi kucheka wala hata kuonyesha dalili ya kubatasamu
Huyo sio mlinzi ni mpambe tu.Kimedani huyu dada yetu wa lake zone kakosea sana, ulinzi wa Rais ni full compact andefulltime eye view Kwa all angles japo ana sense glasses na kadhalika lakini hata akichekeshwa hatakiwi kucheka
Anaruhusiwa kuangua kicheko? Tupe elimu.Huyo sio mlinzi ni mpambe tu.
....kutabasamu sio kosa ila kucheka kwa sauti haijakaa sawa.Anaruhusiwa kuangua kicheko? Tupe elimu.