TANZIA Aden Mwamunyange afariki dunia

TANZIA Aden Mwamunyange afariki dunia

πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ahahaaaa...
Daaa nimecheka mpaka basi do..!

Kutoka Ujambazi hadi sasa hivi walipoamua kuliweka chini ya Green Guard upande mmoja na upande mwingine kama moja ya Jumuiya ndani ya Chama.
 
Aliyekuwa msemaji wa jeshi la Polisi ndugu Aden Mwamunyange amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Mwamunyange ambaye ni Kaka wa Davis Mwamunyange aliyekuwa CDF.

Mungu ailaze mahali pema roho ya marehemu

View attachment 1545215
Aden your where more than a Brother to me and I believe anyone who seeked your help or advice [emoji817] always there! Aden may your Gentle Soul rest in Eternal peace
 
Aden Mwamunyange, umenikumbusha enzi za lile Jeshi la Polisi la Kijambazi. Jeshi la Polisi linapitia nyakati ngumu zenye sura nyingi za ajabu.

Kutoka Ujambazi hadi sasa hivi walipoamua kuliweka chini ya Green Guard upande mmoja na upande mwingine kama moja ya Jumuiya ndani ya Chama.
Sijaelewa
 
Back
Top Bottom