Aden Rage kumshauri Try Again na Mangungu kudai Tsh. Milioni 100 za bango la Yanga kuifunga Simba 5

Aden Rage kumshauri Try Again na Mangungu kudai Tsh. Milioni 100 za bango la Yanga kuifunga Simba 5

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Mwenyekiti wa zamani wa Simba na FAT Adan Rage, amesema wataidai na kuipeleka mahakamani kampuni ya outdoor, Saifi store waliohusika na Kutundika bango lilitumia nembo ya Simba, kwani muendo huo ni wa kibiashara na wamejitangaza kupitia logo ya Simba bila ridhaa ya Simba wenyewe.

Mbobevu huyo wa Sheria amedai ataongea na Try again na Magungu na Viongozi wengine wa Simba kupeleka Madai yao ya kiasi kisichopungua mil 100 Kwa Saifi store ikiwa ni sehemu ya pesa ya kutumika Kwa nembo yao.

Ikumbukwe kuwa club ya yanga iliipa kazi kampuni ya Saifi store kutengeneza na kupandisha bango kubwa linaloonesha ushindi wa bao 5-1 Kwa Yanga dhidi ya Simba.

Kauli hiyo pia imeenda sambamba na pongezi za ushabiki Bora, na pongezi mahsusi kutoka Kwa rais wa fifa kuwa Simba inapiga mpira kuliko Wyada na Mamelod.
 
Ila yanga ni washamba sana kwakweli.. Sikuwahi kudhani kama ile ushindi unaweza kuwa such a big deal kiasi cha kuweka bangi kama lile

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna biashara imefanyika hapo mkuu jifunze kitu inaitwa Multiplier Effect.

Serikali imepata Hela ya Kodi

Mwenye Bango kafanya Biashara

Mwisho kabisa Simba nao wanaenda kupata Hela kwa kuishtaki Yanga na walioweka Bango nao watapata Hela.
 
Mwenyekiti wa zamani wa Simba na FAT Adan Rage, amesema wataidai na kuipeleka mahakamani kampuni ya outdoor, Saifi store waliohusika na Kutundika bango lilitumia nembo ya Simba, kwani muendo huo ni wa kibiashara na wamejitangaza kupitia logo ya Simba bila ridhaa ya Simba wenyewe.

Mbobevu huyo wa Sheria amedai ataongea na Try again na Magungu na Viongozi wengine wa Simba kupeleka Madai yao ya kiasi kisichopungua mil 100 Kwa Saifi store ikiwa ni sehemu ya pesa ya kutumika Kwa nembo yao.

Ikumbukwe kuwa club ya yanga iliipa kazi kampuni ya Saifi store kutengeneza na kupandisha bango kubwa linaloonesha ushindi wa bao 5-1 Kwa Yanga dhidi ya Simba.

Kauli hiyo pia imeenda sambamba na pongezi za ushabiki Bora, na pongezi mahsusi kutoka Kwa rais wa fifa kuwa Simba inapiga mpira kuliko Wyada na Mamelod.
Kwani Yanga imeeingiza shingapi au Simba imepoteza shingapi kwa kuweka ilo Bango, Motive ilikua ni ushabiki na hiyo ndio jadi yetu, sawa watapata compensation ila isizidi buku tano na gharama za kufungua kesi.
 
Hiyo kesi Simba hawezi kushinda ..

Kudai fidia kuhusu nembo itakuwa ngumu ..kwakuwa pale kuna NBC premier league ..ambaye ameingia mkataba na Azam TV na bodi ya ligi..

Hiyo picha IPO kwenye page ya Azam TV ...ambao wana haki ya kupiga picha na kuzisambaza popote pale Duniani ...

Na ndio maana hata official page za Yanga kwenye Instagram, Facebook, sijui Twitter/X hizo image (nembo) zipo ila kwa hisani ya Azam Tv..

Azam TV ameruhusiwa kupiga picha na video kisha kurusha kwa MTU yoyote ..ili aweze kuzitumia kama habari au kumbukumbu ..

Azam TV amelipia hizo images ..na haki ya matangazo ..ambapo images hizo zinatumika ..popote pale ..
 
Inauma sana [emoji23][emoji1787]
20231115_104629.jpg
 
Kuna mdau alileta mada ya kuuliza Kama ni sahihi kisheria kilichofanywa na yanga kuweka Hilo bango. Kuna waliomtukana lakini inawezekana rage pia ni mdau wa huku kaona hiyo taarifa. Mabango yapo kibiashara na biashara imefanyika lakini bila ridhaa ya mtu mwingine.
Outdoor wamelipwa, tra wamelipwa , tarura au tanroad pia wamelipwa na mabispaa ya kinondoni wamelipwa. Simba watashinda hiyo kesi mapema tu kwa sababu wamewekwa kwenye tangazo bila kuhusishwa.
 
Mwenyekiti wa zamani wa Simba na FAT Adan Rage, amesema wataidai na kuipeleka mahakamani kampuni ya outdoor, Saifi store waliohusika na Kutundika bango lilitumia nembo ya Simba, kwani muendo huo ni wa kibiashara na wamejitangaza kupitia logo ya Simba bila ridhaa ya Simba wenyewe.

Mbobevu huyo wa Sheria amedai ataongea na Try again na Magungu na Viongozi wengine wa Simba kupeleka Madai yao ya kiasi kisichopungua mil 100 Kwa Saifi store ikiwa ni sehemu ya pesa ya kutumika Kwa nembo yao.

Ikumbukwe kuwa club ya yanga iliipa kazi kampuni ya Saifi store kutengeneza na kupandisha bango kubwa linaloonesha ushindi wa bao 5-1 Kwa Yanga dhidi ya Simba.

Kauli hiyo pia imeenda sambamba na pongezi za ushabiki Bora, na pongezi mahsusi kutoka Kwa rais wa fifa kuwa Simba inapiga mpira kuliko Wyada na Mamelod.
Kumbe Rage ni mbobevu wa Sheria!
 
Hiyo kesi Simba hawezi kushinda ..

Kudai fidia kuhusu nembo itakuwa ngumu ..kwakuwa pale kuna NBC premier league ..ambaye ameingia mkataba na Azam TV na bodi ya ligi..

Hiyo picha IPO kwenye page ya Azam TV ...ambao wana haki ya kupiga picha na kuzisambaza popote pale Duniani ...

Na ndio maana hata official page za Yanga kwenye Instagram, Facebook, sijui Twitter/X hizo image (nembo) zipo ila kwa hisani ya Azam Tv..

Azam TV ameruhusiwa kupiga picha na video kisha kurusha kwa MTU yoyote ..ili aweze kuzitumia kama habari au kumbukumbu ..

Azam TV amelipia hizo images ..na haki ya matangazo ..ambapo images hizo zinatumika ..popote pale ..
Imeenda mazima huyo.
 
Lazima makampuni yajifunze kujua sheria. Rage yupo sahihi. Je huyu Pan Africa Mangungu atakubali.
 
Back
Top Bottom