Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Huu ni ushamba whatever the case...!Unaniabisha Kaka, ww ni akili kubwa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ni ushamba whatever the case...!Unaniabisha Kaka, ww ni akili kubwa!
Million 100 kidogo sana,brand ya Simba ni kubwa mno,hapo haizidi haipungui Billion 5Mwenyekiti wa zamani wa Simba na FAT Adan Rage, amesema wataidai na kuipeleka mahakamani kampuni ya outdoor, Saifi store waliohusika na Kutundika bango lilitumia nembo ya Simba, kwani muendo huo ni wa kibiashara na wamejitangaza kupitia logo ya Simba bila ridhaa ya Simba wenyewe.
Mbobevu huyo wa Sheria amedai ataongea na Try again na Magungu na Viongozi wengine wa Simba kupeleka Madai yao ya kiasi kisichopungua mil 100 Kwa Saifi store ikiwa ni sehemu ya pesa ya kutumika Kwa nembo yao.
Ikumbukwe kuwa club ya yanga iliipa kazi kampuni ya Saifi store kutengeneza na kupandisha bango kubwa linaloonesha ushindi wa bao 5-1 Kwa Yanga dhidi ya Simba.
Kauli hiyo pia imeenda sambamba na pongezi za ushabiki Bora, na pongezi mahsusi kutoka Kwa rais wa fifa kuwa Simba inapiga mpira kuliko Wyada na Mamelod.
Co ushamba tu ni wajingaIla yanga ni washamba sana kwakweli.. Sikuwahi kudhani kama ile ushindi unaweza kuwa such a big deal kiasi cha kuweka bangi kama lile
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka wanaenda kulishana supu ya vibudu,kweli hawa ni nyani kabisaIla yanga ni washamba sana kwakweli.. Sikuwahi kudhani kama ile ushindi unaweza kuwa such a big deal kiasi cha kuweka bangi kama lile
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushabiki usifikie kuvunja sheria,ndiyo maana mnalishwa vibuduKwani Yanga imeeingiza shingapi au Simba imepoteza shingapi kwa kuweka ilo Bango, Motive ilikua ni ushabiki na hiyo ndio jadi yetu, sawa watapata compensation ila isizidi buku tano na gharama za kufungua kesi.
Ila yanga ni washamba sana kwakweli.. Sikuwahi kudhani kama ile ushindi unaweza kuwa such a big deal kiasi cha kuweka bangi kama lile
Sent using Jamii Forums mobile app
Sheria ipi imevunjwa ? Mpira ni Burudani, hasira za kukojolewa Vitano visiwafanye mjitoe ufahamu! siku yenu na nyie ipo mkae kwa kutulia.Ushabiki usifikie kuvunja sheria,ndiyo maana mnalishwa vibudu
Kwa hiyo tangazo ni sehemu ya 'popote pale' ? Kwamba CRDB wanaweza kudownload picha ya John Bocco kupitia Azam Tv na kujitangaza kwa kupitia hiyo picha?Hiyo kesi Simba hawezi kushinda ..
Kudai fidia kuhusu nembo itakuwa ngumu ..kwakuwa pale kuna NBC premier league ..ambaye ameingia mkataba na Azam TV na bodi ya ligi..
Hiyo picha IPO kwenye page ya Azam TV ...ambao wana haki ya kupiga picha na kuzisambaza popote pale Duniani ...
Na ndio maana hata official page za Yanga kwenye Instagram, Facebook, sijui Twitter/X hizo image (nembo) zipo ila kwa hisani ya Azam Tv..
Azam TV ameruhusiwa kupiga picha na video kisha kurusha kwa MTU yoyote ..ili aweze kuzitumia kama habari au kumbukumbu ..
Azam TV amelipia hizo images ..na haki ya matangazo ..ambapo images hizo zinatumika ..popote pale ..
Je hiyo taarifa kwenye bango ni ya uongo?Kuna mdau alileta mada ya kuuliza Kama ni sahihi kisheria kilichofanywa na yanga kuweka Hilo bango. Kuna waliomtukana lakini inawezekana rage pia ni mdau wa huku kaona hiyo taarifa. Mabango yapo kibiashara na biashara imefanyika lakini bila ridhaa ya mtu mwingine.
Outdoor wamelipwa, tra wamelipwa , tarura au tanroad pia wamelipwa na mabispaa ya kinondoni wamelipwa. Simba watashinda hiyo kesi mapema tu kwa sababu wamewekwa kwenye tangazo bila kuhusishwa.
Unajua hoja inavyozungumziwa? Kama hujui kamwombe msamaha Eymael.Je hiyo taarifa kwenye bango ni ya uongo?
Huhitaji kibali cha simba kutangaza matokeo ya mechi za Simba, ina maana na magazeti yanailipa simba ?Kuna mdau alileta mada ya kuuliza Kama ni sahihi kisheria kilichofanywa na yanga kuweka Hilo bango. Kuna waliomtukana lakini inawezekana rage pia ni mdau wa huku kaona hiyo taarifa. Mabango yapo kibiashara na biashara imefanyika lakini bila ridhaa ya mtu mwingine.
Outdoor wamelipwa, tra wamelipwa , tarura au tanroad pia wamelipwa na mabispaa ya kinondoni wamelipwa. Simba watashinda hiyo kesi mapema tu kwa sababu wamewekwa kwenye tangazo bila kuhusishwa.
Elezea ni biashara gani Yanga wanatangaza?Unajua hoja inavyozungumziwa? Kama hujui kamwombe msamaha Eymael.
Hayo sio matokeo ni matangazo ya biliboard ndio maana yanalipiwa Kodi, ushuru na malipo mengine.Huhitaji kibali cha simba kutangaza matokeo ya mechi za Simba, ina maana na magazeti yanailipa simba ?
Simba hapati chochote hapo
Sio jukumu langu kueleza labda nenda Brella au hata yanga kaulize Kama logo yao imesajiliwa, pia nenda kajifunze kuhusu image right ukishaelewa hivyo vitu utapata jibu la swali lako.Elezea ni biashara gani Yanga wanatangaza?
Ile supu ilikuwa ni sababu tuu kikubwa pale lilikuwa ni kafara kubwa la damu nyingi.. Sasa baada ya pale unadhani nama wangeipeleka wapi?Mpaka wanaenda kulishana supu ya vibudu,kweli hawa ni nyani kabisaView attachment 2814301
Uelewe basi kilichoabdikwa kabla hujaamua kuchangiaKumbe bado una maumivu we mzee
“Bangi” wameiweka wapi
Defamation?Million 100 kidogo sana,brand ya Simba ni kubwa mno,hapo haizidi haipungui Billion 5
Subiri uone! Watadaiwa zaidi ya m100! Nembo kutumika bila kibali ni kosa kubwa! Especialy ka,ma umeitumia kwa lengo la kuifedhehesha!! Ujinga ni mzigo mkubwa sana!!Hiyo kesi Simba hawezi kushinda ..
Kudai fidia kuhusu nembo itakuwa ngumu ..kwakuwa pale kuna NBC premier league ..ambaye ameingia mkataba na Azam TV na bodi ya ligi..
Hiyo picha IPO kwenye page ya Azam TV ...ambao wana haki ya kupiga picha na kuzisambaza popote pale Duniani ...
Na ndio maana hata official page za Yanga kwenye Instagram, Facebook, sijui Twitter/X hizo image (nembo) zipo ila kwa hisani ya Azam Tv..
Azam TV ameruhusiwa kupiga picha na video kisha kurusha kwa MTU yoyote ..ili aweze kuzitumia kama habari au kumbukumbu ..
Azam TV amelipia hizo images ..na haki ya matangazo ..ambapo images hizo zinatumika ..popote pale ..