Aden Rage kumshauri Try Again na Mangungu kudai Tsh. Milioni 100 za bango la Yanga kuifunga Simba 5

Aden Rage kumshauri Try Again na Mangungu kudai Tsh. Milioni 100 za bango la Yanga kuifunga Simba 5

Ni hivi ....CRDB hana haki yoyote na Azam TV wala Boko....

Ila Azam TV anamkataba na bodi ya ligi ...kisha na pia timu zote zinazocheza ligi kuu ..
Mfano Azam TV analipa bonasi kuanzia mshindi wa kwanza mpaka wa mwisho ...
Bonasi hizo zimetokana na kuwa na haki ya kutangaza na kupiga picha timu zikiwa michezoni ...

Sasa Yanga amepost picha ya mchezo Fulani wa ligi kuu .. Ruhusa ya kuimiliki hiyo picha anayo kutoka Azam TV ...
Na ruhusa hiyo anayo kwa kuweka picha hiyo kama habari ...kwenye social media au popote pale ...

Ingekuwa Yanga ametengeneza picha labda Geita 1 YAnga 7 ..na picha hiyo haipo Azam TV na Geita hana hayo matokeo...hapo kungekuwa na angalau mashiko
Chambuzi maandazi

Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
 
Chambuzi maandazi

Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
Nendeni Mahakamani ....milango wazi ..
Simba: Muheshimiwa nembo yangu imebandikwa kibiashara

Yanga: Mheshimiwa Jaji ..embu Makolo watoe ushahidi

Simba: Kanibandika ubaoni Tegeta bila ruhusa yangu ..na ni biashara

Yanga: Mheshimiwa lile bango tulilidownload kutoka Azam TV ..tuwaite watueleze walilitoa wapi .. Na hiyo biashara ya 1-5 iliyobandikwa hapo juu wameitoa wapi ..

Simba: Mheshimiwa sisi tunaomba fidia ya kuwekwa ubaoni bila ruhusa..

Jaji : Kwani bango wameweka biashara gani?

Simba: Mheshimiwa ...1-5 ...yaani tulitandikwa mkono ..(5)

Jaji: Sasa kama mlikula HAMSA .. Mlicheza bila nembo yenu kwenye jezi?

Simba: Mheshiwa hapana ..tulicheza na jezi zetu na nembo zipo ..ila Yanga wametubandika bila ruhusa yetu..

Yanga: Mheshiwa ..hawa makolo wanatupotezea muda ..Tuombe Kamisaa wa mchezo aje, Azam TV na TFF ..watueleze nini kilitokea 5/11/23 ..Uwanja wa Mkapa ..
Na kama kilichotokea kina reflect bango letu au hakireflect bango letu...

Jaji: Natoa wito kwa TFF , Bodi ya ligi, Azam TV ..waje watoe ripoti kilichotokea tarehe 5/11/23

Yanga: Mheshimiwa ..tunaomba wajumuishe na Aziz Ki, Max Nzengeli na Pacome kama mashahidi..

Jaji: Mahakama itazingatia
 
Kuna mdau alileta mada ya kuuliza Kama ni sahihi kisheria kilichofanywa na yanga kuweka Hilo bango. Kuna waliomtukana lakini inawezekana rage pia ni mdau wa huku kaona hiyo taarifa. Mabango yapo kibiashara na biashara imefanyika lakini bila ridhaa ya mtu mwingine.
Outdoor wamelipwa, tra wamelipwa , tarura au tanroad pia wamelipwa na mabispaa ya kinondoni wamelipwa. Simba watashinda hiyo kesi mapema tu kwa sababu wamewekwa kwenye tangazo bila kuhusishwa.
Kwanza wewe ni mwanasheria au unabeti?
 
Angalieni vizuri kama Logo ya Simba iko vile kabla hamjadhalilika.

Zile red and white kwenye Logo siyo nembo ya Simba ilivyo.

Walioandaa hilo bango wala hawajakurupuka.
Angalia vizur
Screenshot_20231114-163324.jpg
 
Back
Top Bottom